demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Kwa mpira huu ambao Yanga inacheza, mpira wa kufunguka na wa kujiachia. Nawatamani sana Mamelodi waje kufunguka pale kwa Mkapa katika Humidity ya 90 Degrees.
Binafsi nadhani Mamelodi ni wepesi sana, Kama walisumbuana na Wydad ambayo ilikuwa Unga kiasi kile basi kipimo chao sahihi ni Dar es Salaam Young Africans SC.
Hii yote kufanikiwa...
I WISH TUMALIZE NAFASI YA PILI, ILA KWA JINSI HAWA VIJANA WALIVYO NA SIFA UTAKUTA WANAENDA KUM'BONDA AL AHLY KWAO.
Binafsi nadhani Mamelodi ni wepesi sana, Kama walisumbuana na Wydad ambayo ilikuwa Unga kiasi kile basi kipimo chao sahihi ni Dar es Salaam Young Africans SC.
Hii yote kufanikiwa...
I WISH TUMALIZE NAFASI YA PILI, ILA KWA JINSI HAWA VIJANA WALIVYO NA SIFA UTAKUTA WANAENDA KUM'BONDA AL AHLY KWAO.