Hawa Wanaopiga risasi hewani posta ni kina nani?

Hawa Wanaopiga risasi hewani posta ni kina nani?

frema120

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2012
Posts
5,098
Reaction score
1,341
Wakuu nilikuwa nimeongozana na gari white corola namba nimeshindwa kukalili vizuri, wamefika maeneo ya ubalozi wa Zambia wameanza kurusha risasi hewani kama wehu vile yani wanatamba tu mpaka maeneo ya BOT mwisho wakaingia njia ya kitega uchumi na kuendelea.

Hakuna hata police wa kuwafuata.

Sijui ni wakina nani wanatamba hivi karibu na ikulu na BOT!!

Kova uko wapi?
 
Kova yuko bar anakula mishkaki. endelea kuwafuatilia utu keep posted.
 
Umeogopa ukashindwa kukariri no tungemfikishia ajikanyage
 
Mkuu naomba uwafatilie mpaka watakapo ishia wakishuka wahoji hii nchi wao ni kama nani mpaka wanarusha risasi hovyo hewani"sisi kama wana JF tutakulinda!!
 
Mkuu naomba uwafatilie mpaka watakapo ishia wakishuka wahoji hii nchi wao ni kama nani mpaka wanarusha risasi hovyo hewani"sisi kama wana JF tutakulinda!!
Hahahahahahaha coment zingine dah!
 
Wakuu nilikuwa nimeongoza na gari white corola no nimeshindwa kukalili vizuri wamefika maeneo ya ubarozi wa zambia wameanza kurusha risasi hewani kama weu vile yani wanatamba tu mpaka maeneo ya BOT mwisho wakaingia njia ya kitega uchumi na kuendelea, na hakuna ata police kuwafata.

Sijui ni kinani wanatamba hivi karibu na ikulu na BOT

Kova uko wapi?

Wafate tu hawanashida hao
 
tukisema hii nchi inaongozwa kihuni tunashambuliwa
 
Hahaha ndugu wetu huyu amepita Jkt ujue!

Sijaelewa dhamira yao mpaka sasa ni nini!!, wameingia kitega uchumi mpaka mirambo street then wakatokea ohio wakachapa mwendo... yan bado nashanga sana wameanza ubarozi wa zambia mpaka BOT nje.
 
Sijaelewa dhamira yao mpaka sasa ni nini!!, wameingia kitega uchumi mpaka mirambo street then wakatokea ohio wakachapa mwendo... yan bado nashanga sana wameanza ubarozi wa zambia mpaka BOT nje.

Mkuu kwanza pongezi kwa kuwanyatia na kuwachunguza hao jamaa ambao hatujui dhamira yao ni nini haswaa nakutujuza" fika home salama ukaingalie familia kaka nadhan hao ndio wenye Nchi!!
 
Mkuu kwanza pongezi kwa kuwanyatia na kuwachunguza hao jamaa ambao hatujui dhamira yao ni nini haswaa nakutujuza" fika home salama ukaingalie familia kaka nadhan hao ndio wenye Nchi!!

Asante mkuu, nimeshafika home... ila wamepiga risasi mpaka police wa geti la BOT opp na mageraza wamejificha.

Chakusahangaza gari wanayotumia ni corola ipo chin kweli lakin hakuna police waliofata watu hao.
 
Kamanda kova anakula cha malawi muda huu ili apate stata ya kwenda kwenye Media akiwa jicho nyanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom