Hawa Wanaopiga risasi hewani posta ni kina nani?

Hawa Wanaopiga risasi hewani posta ni kina nani?

mkuu we pita tu uendelee na maisha hii nchi ina wenyewe...nilishangazwa na habari nilizozikuta arusha mitaa inaitwa Fire karibu na unga ltd, kuna majambazi yamezaliwa pale ( majina nayatunza),na yanajulikana mpaka central lakini hakuna wa kuyafanya kitu. Kuna binti alibakwa relini pale, akaenda kusema kwao kuwa kawaona waliombaka wameelekea nyumba gani, baba yake akaongozana naye kuwajua kufika akakuta ni wale jamaa, alichofanya eti akawauliza ,'nilikuwa nauliza njia ya kwenda kwa balozi'...hakuthubutu hata kuhoji walichomfanya mwanae, ukienda polisi wanawakamata, next day wako nje alaf wanakutafta na kukupiga mpaka ufe...hii nchi ni ya tofauti!! Alaf pakitokea msako ikajulikana wezi wamekimbilia sehemu flani ,then polisi uenda fire kuwakodi hawa majambazi ili wakawakamate hao wengine, yani ni vituko duniani!!mmoja wao kamuoa dada wa jamaa aliyenipa habari, eti kamuoa kwa nguvu/lazima na kawataadharisha siku akikimbia ataenda kwao na kuwaua wote...uyo binti akirudigi tu home kusalimia wanamfukuza arudi kwa mmewe haraka isije kuwa shida, vyombo vya usalama angaika na hawa watu jamani, ni hatari katika jamii!!

Mmoja ni kamanda maarufu sana wa green army
 
mkuu una maswali magumu kweli sasa kwann usiwaulize wenyewe!?
 
weka majina yao hapa na picha vinginevyo na wewe unachangia kuwalea!

mkuu mamlaka zinawajua, siwezi kufanya kazi ya watu tunaowalipa, angalia michango apo juu watu wengi wanawajua na siwezi angaika ivo!!
 
Anyway. Hizi habari si za kupuuza ni sehemu ya dodoso. Wafuatiliaji wanaweza kuchokonoa kijanja kupata kina. Kama unahusika pls fanya kazi
 
Mkuu naomba uwafatilie mpaka watakapo ishia wakishuka wahoji hii nchi wao ni kama nani mpaka wanarusha risasi hovyo hewani"sisi kama wana JF tutakulinda!!

Acha masiara kwanza ni shujaa kwa kuendelea kuwafuata kwa nyuma
 
TZ tuko salama kwa neema,vyombo vya usalama viko bize na siasa tuuu
 
Wakuu nilikuwa nimeongozana na gari white corola namba nimeshindwa kukalili vizuri, wamefika maeneo ya ubalozi wa Zambia wameanza kurusha risasi hewani kama wehu vile yani wanatamba tu mpaka maeneo ya BOT mwisho wakaingia njia ya kitega uchumi na kuendelea.

Hakuna hata police wa kuwafuata.

Sijui ni wakina nani wanatamba hivi karibu na ikulu na BOT!!

Kova uko wapi?
Namba ya usajili wa gari ama kapicha kangetoa mwanga...pia mngetoa taarifa maganda ya risasi yakaokotwa silaha iliyotumika ingejulikana na mmiliki wake
 
Mkuu naomba uwafatilie mpaka watakapo ishia wakishuka wahoji hii nchi wao ni kama nani mpaka wanarusha risasi hovyo hewani"sisi kama wana JF tutakulinda!!
na akipigwa risasi akafa atamshtakia Mungu

Sisi kama JF tutakutana naye paradiso sio?:A S 109:
 
Polis we waambie kukamata kanga moko au bunyerobunyero maana huko wanafaidi kuangalia ------.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom