Hawa wanaohama chadema Mbona kadi hawakabidhi?

Hawa wanaohama chadema Mbona kadi hawakabidhi?

GT.
Jamani mna uhakika hawa qanaoitisha press ni wanachadema wote au kuna mamluki ndani yake?

Pili sijaona wakikabidhi au kurudisha kadi za chama ila CCM kwa propaganda ni wazuri lakini mwisho wa siiu hakuna lolote
Hayo ni maigizo tu ili waendelee kula hela ya CCM
 
GT.
Jamani mna uhakika hawa qanaoitisha press ni wanachadema wote au kuna mamluki ndani yake?

Pili sijaona wakikabidhi au kurudisha kadi za chama ila CCM kwa propaganda ni wazuri lakini mwisho wa siiu hakuna lolote
Ni uongo tuu, hakuna aiyehama chadema hata mmoja! Ni uzushi wa CCM tuu.
 
Watafanya michezo kama ya dr.slaa kuwa hakukabidhi kadi kwa hiyo watarejea siumeona hata juzi bwana komu karejea,siasa ni mchezo mchafu
 
Yerico nyerere anasema atarejea chama kikirudi kwa wanachama. Mpumbavu kabisa. Yaani wanachama wachague uongozi kisa ALPHA NA OMEGA. Hajachaguliwa wewe hutaki kukubaliana nao???
 
GT.
Jamani mna uhakika hawa qanaoitisha press ni wanachadema wote au kuna mamluki ndani yake?

Pili sijaona wakikabidhi au kurudisha kadi za chama ila CCM kwa propaganda ni wazuri lakini mwisho wa siiu hakuna lolote
WAnasubiri upepo upite kwanza.....ccm hakuaminiki
 
Back
Top Bottom