M mabomu Member Joined Feb 17, 2011 Posts 43 Reaction score 7 Oct 13, 2011 #1 wape ushauri basi! Attachments wanafunzi.jpg 37.8 KB · Views: 526
M Mr Rocky JF-Expert Member Joined Oct 10, 2007 Posts 15,178 Reaction score 14,383 Oct 13, 2011 #3 watapata wapi usafiri wa kuwarudisha home jioni
K Kifuna JF-Expert Member Joined Aug 7, 2008 Posts 442 Reaction score 118 Oct 13, 2011 #4 Wanafikiria maisha mapya baada ya masomo haya kuyamaliza.
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Oct 13, 2011 #5 Kifuna said: Wanafikiria maisha mapya baada ya masomo haya kuyamaliza. Click to expand... ndio jibu lake haswaaaa wanachowaza..
Kifuna said: Wanafikiria maisha mapya baada ya masomo haya kuyamaliza. Click to expand... ndio jibu lake haswaaaa wanachowaza..
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 55,028 Reaction score 59,657 Oct 13, 2011 #6 Wapo kwenye break ...pepa inaendelea bado ...
M MAMENGAZI JF-Expert Member Joined Dec 31, 2010 Posts 779 Reaction score 129 Oct 13, 2011 #7 Wanafikiria jinsi ya kuvuka vikwazo vya Fataki watakaporudi uswahilini.
Trustme JF-Expert Member Joined Jan 7, 2011 Posts 1,169 Reaction score 349 Oct 13, 2011 #8 mabomu said: wape ushauri basi! Click to expand... Waendelee kupunzika, maisha sio kusoma tu! Mi nilipokua form 11 nilipachikwa mimba na maisha yanaendelea kama kawa babu langu
mabomu said: wape ushauri basi! Click to expand... Waendelee kupunzika, maisha sio kusoma tu! Mi nilipokua form 11 nilipachikwa mimba na maisha yanaendelea kama kawa babu langu
K KILINDI Member Joined Apr 17, 2011 Posts 50 Reaction score 6 Oct 13, 2011 #9 Ni vigumu kujuwa wanachowaza haswa, labda nami nijaribu kubuni wanachowaza. wanawaza kwanini CCM inewatelekeza na je hatma ya maisha yao itakuwaje?
Ni vigumu kujuwa wanachowaza haswa, labda nami nijaribu kubuni wanachowaza. wanawaza kwanini CCM inewatelekeza na je hatma ya maisha yao itakuwaje?
K KILINDI Member Joined Apr 17, 2011 Posts 50 Reaction score 6 Oct 13, 2011 #10 Kupata kwako Mimba ni uzambe ulioufanya wewe, enzi zako, hizi ni nyakati nyingine kabisa, kumbuka kiza zama na wakati wake.
Kupata kwako Mimba ni uzambe ulioufanya wewe, enzi zako, hizi ni nyakati nyingine kabisa, kumbuka kiza zama na wakati wake.
Lutala JF-Expert Member Joined Jun 17, 2010 Posts 848 Reaction score 104 Oct 13, 2011 #11 mabomu said: wape ushauri basi! Click to expand... Karibuni katika shughuli za ujenzi wa Taifa. Nyie kwa sasa ni wqshirika wenzetu katika shughuli za maendeleo
mabomu said: wape ushauri basi! Click to expand... Karibuni katika shughuli za ujenzi wa Taifa. Nyie kwa sasa ni wqshirika wenzetu katika shughuli za maendeleo
Meritta JF-Expert Member Joined Apr 26, 2011 Posts 1,303 Reaction score 295 Oct 13, 2011 #12 wanasubili pepa hao
Mzee JF-Expert Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,620 Reaction score 5,863 Oct 13, 2011 #13 Wanawaza jinsi watakavyopambana na maisha mapya.
Mshume Kiyate JF-Expert Member Joined Feb 27, 2011 Posts 6,764 Reaction score 903 Oct 13, 2011 #14 Wamepumzika tu
Husninyo Platinum Member Joined Oct 24, 2010 Posts 24,167 Reaction score 10,226 Oct 14, 2011 #15 naona mmeamua kuwauzisha nyago dada zenu.