Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,252
Chama cha Mapinduzi hakina mtu anayefaa kuwa Rais wa Tanzania, labda rais wa mafisadi, wala rushwa na wahujumu uchumiMoja ya sababu kubwa ya nchi nyingi kutoendelea ni kutoandaa viongozi kwa ajili ya vizazi vijavyo na vijavyo.
Leo Mimi countrywide msomi ninatoa maoni yangu kuhusu kuandaa watu Hawa kwa ajili ya uraisi 2040.
Ningeweza kusema 2030 lakini naona ni karibu sana kiasi ambacho itakua sio Tena maandalizi bali mkurupuko.
Hawa wanafaa, tuwajenge tuwaunge mkono;
1) Nickson Simon (Nikki wa Pili)
- Kama wengi wanavyomuita genius, ndivyo ambavyo uhalisia ulivyo. Nikki ana uwezo mkubwa wa akili na anapaswa kuandaliwa kwa ajili ya uraisi 2040. Ni aina ya kijana ambae amezaliwa kioungozi.
Ni msomi, mcha Mungu, muadilifu, mnyenyekevu, msikivu, mkali kwa wazembe. Hakika wakati ni sasa kumuandaa.
2) Innocent Bashungwa
- Jina hili linapaswa kuwemo kwenye orodha ha viongozi wakubwa baadae. Na itakuwa vyema akiandaliwa kuja kuwa raisi wa baadae. Mapungufu yapo Ila anaweza kuandaliwa vizuri na kuyaondoa hayo mapungufu.
3) Juma Aweso
- nashauri akae kwenye nafasi ya uwaziri kwa muda mrefu ili apate zaidi uzoefu baadae atatufaa Sana. Najua ana mapungufu yake Ila system inaweza kumjenga na kuyaondoa.
Ana future nzuri Sana
4) Mashaka mrisho Gambo
- huyu amejipambanua kuwa ni mmoja wa vijana hodari na wenye kaliba ya uongozi.
Ana mapungufu yake Ila yanaweza kurekebishwa na kuja kuwa raisi na hakika tunaweza fika mbali.
5) Anthony Mavunde
- mbunge wa Sasa wa Dodoma ni moja ya watu potential sana miaka ya baadae na akiandaliwa mapema atakuja kuwa kiongozi mzuri sana na mkubwa nchini.
Hao wote Hadi kufika 2040 watakuwa na umri ww miaka 55-60, hivyo utakua wakati muafaka Sana kwao kuwa maraisi. Lakini ninaomba waandaliwe sasa.
View attachment 2007779View attachment 2007780View attachment 2007781View attachment 2007782View attachment 2007783
Eti msomi?Moja ya sababu kubwa ya nchi nyingi kutoendelea ni kutoandaa viongozi kwa ajili ya vizazi vijavyo na vijavyo.
Leo Mimi countrywide msomi ninatoa maoni yangu kuhusu kuandaa watu Hawa kwa ajili ya uraisi 2040.
Ningeweza kusema 2030 lakini naona ni karibu sana kiasi ambacho itakua sio Tena maandalizi bali mkurupuko.
Hawa wanafaa, tuwajenge tuwaunge mkono;
1) Nickson Simon (Nikki wa Pili)
- Kama wengi wanavyomuita genius, ndivyo ambavyo uhalisia ulivyo. Nikki ana uwezo mkubwa wa akili na anapaswa kuandaliwa kwa ajili ya uraisi 2040. Ni aina ya kijana ambae amezaliwa kioungozi.
Ni msomi, mcha Mungu, muadilifu, mnyenyekevu, msikivu, mkali kwa wazembe. Hakika wakati ni sasa kumuandaa.
2) Innocent Bashungwa
- Jina hili linapaswa kuwemo kwenye orodha ha viongozi wakubwa baadae. Na itakuwa vyema akiandaliwa kuja kuwa raisi wa baadae. Mapungufu yapo Ila anaweza kuandaliwa vizuri na kuyaondoa hayo mapungufu.
3) Juma Aweso
- nashauri akae kwenye nafasi ya uwaziri kwa muda mrefu ili apate zaidi uzoefu baadae atatufaa Sana. Najua ana mapungufu yake Ila system inaweza kumjenga na kuyaondoa.
Ana future nzuri Sana
4) Mashaka mrisho Gambo
- huyu amejipambanua kuwa ni mmoja wa vijana hodari na wenye kaliba ya uongozi.
Ana mapungufu yake Ila yanaweza kurekebishwa na kuja kuwa raisi na hakika tunaweza fika mbali.
5) Anthony Mavunde
- mbunge wa Sasa wa Dodoma ni moja ya watu potential sana miaka ya baadae na akiandaliwa mapema atakuja kuwa kiongozi mzuri sana na mkubwa nchini.
Hao wote Hadi kufika 2040 watakuwa na umri ww miaka 55-60, hivyo utakua wakati muafaka Sana kwao kuwa maraisi. Lakini ninaomba waandaliwe sasa.
View attachment 2007779View attachment 2007780View attachment 2007781View attachment 2007782View attachment 2007783
Wachana na mrundi huyo tayari kesha ikumbuka tanzania maana mara ya mwisho alikuwa kambi ya wakimbizi ya NdutaMaoni yako yaheshimiwe ila hakuna presidential material hapo labda wapigaji na wauza nchi na raia wake.
Umeonaeee?Chama cha Mapinduzi hakina mtu anayefaa kuwa Rais wa Tanzania, labda rais wa mafisadi, wala rushwa na wahujumu uchumi
Hakuna kiumbe yeyote toka Singida atakaye tawala hii nchi.Hapo pa Mrisho Gambo nakukubalia
2030 namuona Mwigulu Nchemba akiingia Ikulu
Hawa vijana hawana chembe ya huo upigaji. Naamini Wana mapungufu Ila wapewe nafasi waandaliwe vizuriMaoni yako yaheshimiwe ila hakuna presidential material hapo labda wapigaji na wauza nchi na raia wake.
Gaidi anakaribia kunyongwa huko.Eti msomi?
Burundi kuna shule gani za kukufanya uturingie hapa tanzania ambako upo ukimbizini?
Nyie watu sijui mna matatizo ya akili, hao vijana mbona wapo vizuri sana? Mnataka mtu wa aina gani?Tanzania siyo kichwa Cha mwendawazimu.
Hapo zero,Gambo hata Ubunge hafai.
Kwa hiyo wapo chademaChama cha Mapinduzi hakina mtu anayefaa kuwa Rais wa Tanzania, labda rais wa mafisadi, wala rushwa na wahujumu uchumi
Hapo hujamuona?Ungeniambia Awesso ningekuelewa
Unafikiri kuongoza nchi ni kuongoza kata? Kama kiongozi Aina ya Msoga gang basi wanafaa,ila kiongozi wa kulipeleka mbele taifa hayupo hapo.Nyie watu sijui mna matatizo ya akili, hao vijana mbona wapo vizuri sana? Mnataka mtu wa aina gani?
SISI TUMEKUANDAA WEWE SIO HAWA......SAWA SAWA?Moja ya sababu kubwa ya nchi nyingi kutoendelea ni kutoandaa viongozi kwa ajili ya vizazi vijavyo na vijavyo.
Leo Mimi countrywide msomi ninatoa maoni yangu kuhusu kuandaa watu Hawa kwa ajili ya uraisi 2040.
Ningeweza kusema 2030 lakini naona ni karibu sana kiasi ambacho itakua sio Tena maandalizi bali mkurupuko.
Hawa wanafaa, tuwajenge tuwaunge mkono;
1) Nickson Simon (Nikki wa Pili)
- Kama wengi wanavyomuita genius, ndivyo ambavyo uhalisia ulivyo. Nikki ana uwezo mkubwa wa akili na anapaswa kuandaliwa kwa ajili ya uraisi 2040. Ni aina ya kijana ambae amezaliwa kioungozi.
Ni msomi, mcha Mungu, muadilifu, mnyenyekevu, msikivu, mkali kwa wazembe. Hakika wakati ni sasa kumuandaa.
2) Innocent Bashungwa
- Jina hili linapaswa kuwemo kwenye orodha ha viongozi wakubwa baadae. Na itakuwa vyema akiandaliwa kuja kuwa raisi wa baadae. Mapungufu yapo Ila anaweza kuandaliwa vizuri na kuyaondoa hayo mapungufu.
3) Juma Aweso
- nashauri akae kwenye nafasi ya uwaziri kwa muda mrefu ili apate zaidi uzoefu baadae atatufaa Sana. Najua ana mapungufu yake Ila system inaweza kumjenga na kuyaondoa.
Ana future nzuri Sana
4) Mashaka mrisho Gambo
- huyu amejipambanua kuwa ni mmoja wa vijana hodari na wenye kaliba ya uongozi.
Ana mapungufu yake Ila yanaweza kurekebishwa na kuja kuwa raisi na hakika tunaweza fika mbali.
5) Anthony Mavunde
- mbunge wa Sasa wa Dodoma ni moja ya watu potential sana miaka ya baadae na akiandaliwa mapema atakuja kuwa kiongozi mzuri sana na mkubwa nchini.
Hao wote Hadi kufika 2040 watakuwa na umri ww miaka 55-60, hivyo utakua wakati muafaka Sana kwao kuwa maraisi. Lakini ninaomba waandaliwe sasa.
View attachment 2007779View attachment 2007780View attachment 2007781View attachment 2007782View attachment 2007783
Ndipo tunapoangukaga watanzania.Moja ya sababu kubwa ya nchi nyingi kutoendelea ni kutoandaa viongozi kwa ajili ya vizazi vijavyo na vijavyo.
Leo Mimi countrywide msomi ninatoa maoni yangu kuhusu kuandaa watu Hawa kwa ajili ya uraisi 2040.
Ningeweza kusema 2030 lakini naona ni karibu sana kiasi ambacho itakua sio Tena maandalizi bali mkurupuko.
Hawa wanafaa, tuwajenge tuwaunge mkono;
1) Nickson Simon (Nikki wa Pili)
- Kama wengi wanavyomuita genius, ndivyo ambavyo uhalisia ulivyo. Nikki ana uwezo mkubwa wa akili na anapaswa kuandaliwa kwa ajili ya uraisi 2040. Ni aina ya kijana ambae amezaliwa kioungozi.
Ni msomi, mcha Mungu, muadilifu, mnyenyekevu, msikivu, mkali kwa wazembe. Hakika wakati ni sasa kumuandaa.
2) Innocent Bashungwa
- Jina hili linapaswa kuwemo kwenye orodha ha viongozi wakubwa baadae. Na itakuwa vyema akiandaliwa kuja kuwa raisi wa baadae. Mapungufu yapo Ila anaweza kuandaliwa vizuri na kuyaondoa hayo mapungufu.
3) Juma Aweso
- nashauri akae kwenye nafasi ya uwaziri kwa muda mrefu ili apate zaidi uzoefu baadae atatufaa Sana. Najua ana mapungufu yake Ila system inaweza kumjenga na kuyaondoa.
Ana future nzuri Sana
4) Mashaka mrisho Gambo
- huyu amejipambanua kuwa ni mmoja wa vijana hodari na wenye kaliba ya uongozi.
Ana mapungufu yake Ila yanaweza kurekebishwa na kuja kuwa raisi na hakika tunaweza fika mbali.
5) Anthony Mavunde
- mbunge wa Sasa wa Dodoma ni moja ya watu potential sana miaka ya baadae na akiandaliwa mapema atakuja kuwa kiongozi mzuri sana na mkubwa nchini.
Hao wote Hadi kufika 2040 watakuwa na umri ww miaka 55-60, hivyo utakua wakati muafaka Sana kwao kuwa maraisi. Lakini ninaomba waandaliwe sasa.
View attachment 2007779View attachment 2007780View attachment 2007781View attachment 2007782View attachment 2007783