Nawapa pole wana arumeru kwa msiba wa mbunge wao Mh Sumari. Nilipita eneo moja la ngaramton nikakutana nakijana wa ccm nikampa pole yakufiwa na mbunge wao. Alinijibu ahsante lakin niny CHADEMA Msidhani mtalipata jimbo kwani hata sumari kupata huo ubunge alimuomba Elishilia Kaaya ndo akamwachia amalizie kipindi chake, makubwa. Nilishangaa kidogo nakujiuliza nasasa nawauliza ndg zangu wanajf INA MAANA CCM WANAHATIMILIKI NA JIMBO LA ARUMERU mashariki??! No haiwezeka. Nihaki yakila chama muda ukifika kuwekamgombe nakumnadi kwa sera nzuri za Chama chake na wala sio uccm nahatimilki ya jimbo. TUSHIRIKIANE NAWANAFAMILIA KTK MAOMBOLEZE KPNDI CHAKAMPEN BADO. NAWASILISHA