Hawa wameanza lini kampeni dhidi ya Corona ?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,373
217,432
FB_IMG_1617360842833.jpg


Mbona kama sielewi ?
 
Wanafiki waliokua wanamtukuza Marehemu hivi sasa wamepoteana na kuchanganyana. Hawajui bendi yao ya mapambio inaelekea wapi, kama ndio bendi imevunjwa au wanaingia ubeti wa pili.

Ila katika hio bendi kuna msanii mmoja nimemkubali sana, yupo very sharp kwenda na beat, muimba chorus maarufu pasko. Jana katoka kusema anaamini Mama Samia ataipeleka mbele nchi zaidi kuliko Marehemu.

Na yule bwana fulani alieanzisha Week Ya Nyungu, mara paap ndio akawa wa kwanza kuvaa barakoa kwenye msiba.
 
Duuuuuu msikitiii tenaaaa
Si kweli hata angekuwa muislam hakuna kitu kinaitwa kuanzisha msikiti kwenye uislam ukijenga msikiti utatambulika tu kwamba msikiti fulani umejengwa na fulani lakini si kuumiliki km wanavyomiliki makanisa kila uchwao fulani kaanzosha kanisa fulani kaanzisha kanisa hakuna hicho kitu na mfumo wa uendeshaji misikiti ni tofauti kabisa huwezi pata faida ya kifedha!
 
Back
Top Bottom