Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,373
- 217,432
Mbona kama sielewi ?
Huyu Mkandamizaji aliyekuwa anamsifia mtu kuliko Mungu na kulala mabarabarani huku akisifia ujinga leo anafanya haya !Baada ya kupumzishwa kwa mkubwa fulani
"unafiki on the fleek"
😆😆😆Wanafiki waliokua wanamtukuza Marehemu hivi sasa wamepoteana na kuchanganyana. Hawajui bendi yao ya mapambio inaelekea wapi, kama ndio bendi imevunjwa au wanaingia ubeti wa pili....
mkandamizaji na ShiloleKwani ni nani hao?
Wameshasoma alama. Tayari wamegeuza upande wa mwelekeo. Wazee wa fursa. Haki ya nani wanafiki wa namna hii hata wakichomwa moto ni halali.
Ndo huyu aliwadhihaki, Marais, mabalozi na wakuu mbalimbali waliovaa barakoa siku ya Kuapishwa Mwendazake....Huyu Mkandamizaji aliyekuwa anamsifia mtu kuliko Mungu na kulala mabarabarani huku akisifia ujinga leo anafanya haya !
huyu kijana ni mtu wa fursa , ana kanisa lake la magumashi na kuna taarifa kwamba anataka kuanzisha msikitiMasanja Ni janga kubwa sana
Duuuuuu msikitiii tenaaaahuyu kijana ni mtu wa fursa , ana kanisa lake la magumashi na kuna taarifa kwamba anataka kuanzisha msikiti
Si kweli hata angekuwa muislam hakuna kitu kinaitwa kuanzisha msikiti kwenye uislam ukijenga msikiti utatambulika tu kwamba msikiti fulani umejengwa na fulani lakini si kuumiliki km wanavyomiliki makanisa kila uchwao fulani kaanzosha kanisa fulani kaanzisha kanisa hakuna hicho kitu na mfumo wa uendeshaji misikiti ni tofauti kabisa huwezi pata faida ya kifedha!Duuuuuu msikitiii tenaaaa
Hawa vibaka tu hawana msimamo
Jamaa ni boya sana. Kuna siku atakuja kusema ulikuwa utoto ndio ulimfanya ajitoe ufahamu kiwango kileHuyu Mkandamizaji aliyekuwa anamsifia mtu kuliko Mungu na kulala mabarabarani huku akisifia ujinga leo anafanya haya !