Hawa walitoka Jeshini wakagombea kupitia CCM!

Hawa walitoka Jeshini wakagombea kupitia CCM!

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,791
Reaction score
50,340
1. Omary Mahita

2. Alfred Tibaigana!

3. Makame Rashid

4. Hassan Ngwilizi

5. Adadi Rajab

6. Robert Mboma

Hawa ni ambao nimewekumbuka. Jee ni salama zaidi kuwa CCM kuliko chama kingine ukitoka kwenye utumishi wa Jeshi?

Siyo kosa kwa wanajeshi wastaafu kugombea nafasi yoyote ile ya kisiasa baada ya kustaafu utumishi wao wa jeshi!
 
1. Omary Mahita

2. Alfred Tibaigana!

3. Makame Rashid

4. Hassan Ngwilizi

5. Adadi Rajab

6. Robert Mboma

Hawa ni ambao nimewekumbuka. Jee ni salama zaidi kuwa CCM kuliko chama kingine ukitoka kwenye utumishi wa Jeshi?

Siyo kosa kwa wanajeshi wastaafu kugombea nafasi yoyote ile ya kisiasa baada ya kustaafu utumishi wao wa jeshi!
Kwa nini hawakupitia CUF tueleze? Kwa sababu hawakutaka fujo? Na CHADEMA je? Labda hawapendi matusi. Umesahau IGP Omari Ngunguri alipougua uti walitaka aende Nairobi kutibiwa akakataa, si akaja kuponea Muhimbili tu? Ni uzalendo ....
 
1. Omary Mahita

2. Alfred Tibaigana!

3. Makame Rashid

4. Hassan Ngwilizi

5. Adadi Rajab

6. Robert Mboma

Hawa ni ambao nimewekumbuka. Jee ni salama zaidi kuwa CCM kuliko chama kingine ukitoka kwenye utumishi wa Jeshi?

Siyo kosa kwa wanajeshi wastaafu kugombea nafasi yoyote ile ya kisiasa baada ya kustaafu utumishi wao wa jeshi!
Wanaujua ukweli kuwa vyama vya upinzani vinamilikiwa na watu binafsi. Hakuna mjeda anapenda kuwa chini ya raia uraiani.
 
Kwa nini hawakupitia CUF tueleze? Kwa sababu hawakutaka fujo? Na CHADEMA je? Labda hawapendi matusi. Umesahau IGP Omari Ngunguri alipougua uti walitaka aende Nairobi kutibiwa akakataa, si akaja kuponea Muhimbili tu? Ni uzalendo ....
Unamfahamu Wandwi?
 
Jiongeze zaidi wagombea wote wa CCM na UPINZANI asili yao kabla ya siasa huwa wanatoka ktk shughuli gani?
 
Hata watumishi wa kawaida ukigombea nafasi yeyote kupitia ccm ama hata kwenda ofisini na nguo ya ccm pouwa tuu. Ukivaa nhingine weeww issue itaenda kamati ya ulinzi na usalama faster utapata misukosuko mpaka ukome
Kimsingi ccm ndio iliyoandaa mfumo wa vyama vingi Tanzania
 
1. Omary Mahita

2. Alfred Tibaigana!

3. Makame Rashid

4. Hassan Ngwilizi

5. Adadi Rajab

6. Robert Mboma

Hawa ni ambao nimewekumbuka. Jee ni salama zaidi kuwa CCM kuliko chama kingine ukitoka kwenye utumishi wa Jeshi?

Siyo kosa kwa wanajeshi wastaafu kugombea nafasi yoyote ile ya kisiasa baada ya kustaafu utumishi wao wa jeshi!


CCM ni Chama Dola!
 
Wanaujua ukweli kuwa vyama vya upinzani vinamilikiwa na watu binafsi. Hakuna mjeda anapenda kuwa chini ya raia uraiani.
Kwani CCM inamilikiwa na jeshi unaposema hakuna mjeda anayependa kuwa chini ya raia? Hivi hujui kwamba hao wastaafu wakifanya makosa watapelekwa kwenye mahakama za kawaida na wala siyo jeshini? Kazi ya jeshi walishastaafu ndio maana wako huru kuendelea na siasa kama raia wa kawaida.
 
Kamishna Mustafa wandwi alijiunga na kafu
Kuna tetesi wapo wanajeshi na polisi wastaafu huko zanzibar walijiunga kafu wakaanza kuwafundisha kuunda mabomu ya kienyeji na kuua wakristo na mapdri,lakini walisambaratishwa wote.
Ni hatari sana kwa askari kujiunga na upinzani kwa sababu ni rahisi sana kugeuzwa shetani kuliko akijiunga na ccm
 
Kwa nini hawakupitia CUF tueleze? Kwa sababu hawakutaka fujo? Na CHADEMA je? Labda hawapendi matusi. Umesahau IGP Omari Ngunguri alipougua uti walitaka aende Nairobi kutibiwa akakataa, si akaja kuponea Muhimbili tu? Ni uzalendo ....

Kwahiyo kutibiwa muhimbili ni uzalendo?
 
Kamishna Mustafa wandwi alijiunga na kafu
Kuna tetesi wapo wanajeshi na polisi wastaafu huko zanzibar walijiunga kafu wakaanza kuwafundisha kuunda mabomu ya kienyeji na kuua wakristo na mapdri,lakini walisambaratishwa wote.
Ni hatari sana kwa askari kujiunga na upinzani kwa sababu ni rahisi sana kugeuzwa shetani kuliko akijiunga na ccm
Aisee! Kumbe askari akiwa CCM anakuwa malaika.....!!!! Kidumu chama cha mapinduzi.
 
Back
Top Bottom