Hawa wako wapi sasa?

nyani ngabu,
made ipo pale kinondoni muslimu unaingila pale karibu na langata,je unaijua buibui guest house,alafu ipo nyingine sikumbuki jina ipo kwa ndani kidogo na kinodoni makaburini unaingia kushoto kama umetoka mjini,je na ikweta bar unaikumbuka ?
 
Next to empress cinema ndo ilikuwa American Center enzi hizo za ABC news with Peter Jennings...
 

basi siku hizi kuna sehemu zinaitwa,kigilagila lumo,kiembe mbuzi,mwembe sindimba,kilamba nyoka,mtampwimpwi basi ni burudani tu ya meno na ulimi.
masakani yangu ilikuwapale empressi

Unajua sie wengine tushachoka na siasa na kam ukisoma kule nyuma utaona kuwa hii ilikuwa ni RETALIATION ya akina ES kuzunguzmia story zao za meli

sawa lakini mbona hujatupa story za akina:

BOB MONACHE

YUYU

CARO NYIMBO alikuwa anachukuliwa na marehemu ABDI MSOMALI mpaka abdi alimfungulia saluni pale NAMANGA ilikuwa inaitwa CAROLS...



Talk about Kindoni muslim katika kuasoma soma kwangu unajua tena sie wengine akili zetu zililala kwa hiyo kuhama shule ni kawaida ...vipi mbona hujatupa story za:

MWALIMU SHARIFF

na

MWALIMU NDOSHO
?

Next to empress cinema ndo ilikuwa American Center enzi hizo za ABC news with Peter Jennings...

Nilishaeleza yote hayo wewe pitia post zangu kwenye hii thread huko nyuma...Peter Jennings marehemu sasa hivi unajua kama jamaa likuwa ni Mcanada?

wadau mnakumbuka pale kwa kajange,hivi bado yupo yule jamaa

Kajange alikuwa ana chenji dola huku upande wa wale wadosi wauza SAA
 
Mnapakumbuka hapo ALITALIA?

basi niliwattapeli tickey ya kwenda holland kwa credit card feki




by the way inaelekea kuwa mwenekapufi, Tanzania 1, gangilonga nyie mtakuwa mmetokea BARA au mnaona mauza uza haya tunayoyaongelea humu msikonde ndio maisha
 
Aah stick to your old name mate, BM ndo tumeizoea. Enzi hizo basi nina suruali yangu ya mchele mchele buggy afu nimekupigia shati langu la ujiuji, chini nimekandamiza na mokasini inawakaaaa!!Nikitoka casual- nina jeans yangu na ki OPP tshirt na chini nina raba mtoni, kichwani nina punk la nguvu!
 
mzee wanikumbusha mbali sasa naanza kuamini kweli ulikuwa unazuga sana pale mitaa yakati,lakini umesahau sehemu moja ambayo ilikuwa maarufu sana kwa totos pale zilikuwa hazikauki.hapo alitalia ndio ilikuwa nja yangu ya kwenda home baada ya mihangaiko ya mjini.
 
Stringer what is this turning to now? 1-800-GET-INDICTED-ONLINE?

U sick son, sasa credit card feki si serious fraud mazee huogopi kunyea debe?
 
mande guest house ...waendaji wa pale wengi huchukua milupo ya poa pale kino makaburini...[ambako kwa ndani kuna ofisi ya majamaa]..na hapa juu jirani na langata....duuu!!
 
pm,
basi hapo ngabu ndio ilikuwa mtaa yake,mambo yote yalikuwa pale embassey hotel,kulikuwa na jamaa pale ukiwadakisha kitu kidogo tu mpaka msosi wanakuletea unajivinjari kwa kujinafasi
 
Stringer Bell,

Yep nafahamu kuwa Peter Jennings alikuwa Canadian born na naturalized US citizen vilevile, mambo ya dual citizenship hayo....

Katibu Tarafa,

Dengu beach napakumbuka vizuri sana tu, kwani vipi?
 
Stringer what is this turning to now? 1-800-GET-INDICTED-ONLINE?

U sick son, sasa credit card feki si serious fraud mazee huogopi kunyea debe?

unamaana hao usalam wa Taifa watanitafuta kwa ajili ya credit cards?

man those guys are bussy na akina Zitto, that said ebwana nimepost thread ya THE WIRE kule burudani naona wote mko kimya..ndio maana nasema kuwa mimi niko mbali sana na nyie bwana sasa inamaana hamuna Cable au vipi?
 
DAR si LAMU, Sura-ya-Kwanza, Mwakilishikimya chenu kinatisha
 

Stringer watu hawana muda wa kusubiri HBO wana Netflix na ku-Tivo sio lazima tuende na season.Mambo ya user controlled entertainment sio mpaka usubiri HBO wanataka kukuletea nini, lol.

Nilikuwa nafuatilia Rome nikashindwa season ya kwanza, season ya pili nimechukua box set hata sijaiangalia, maisha kaka watu wanataka ku-conquer the world kama Napoleon lazima kujifunga mkanda.
 
Nani amekula chipsi kwa Shirima pale Upanga karibu na Shaaban Robert?
 

HAHAHAHAAA

yaani jinsi mnavyo jitetea unanikumbusha wabongo wa Ulaya ukiwauliza vipi mamabo ya kucheki movies za maana wankuambia ahhh MAMABO YA SINEMA yanataka Interest! ukiwauliza vipi kuhusu kufuatilia series basi watakuambia ahhhh ENGLISH imezidi.

The same applies to mademu wa kibongo waliopo viwanja yaani unakuta sista duu yuko kiwanja zaidi ya nyundo 10 lakini bado ana meno ya NJANO jamani whats the big deal kutoa hiyo $300 kuwhiten meno? ndio wanajenga huko Africa sasa personal hygene ndio inakuwa sacrificed?


Mzee ROME mbona uko nyuma sana yaani hiyo series ilikwisha na BBC pamoja na HBO waliamua kuwa ndio ya mwisho, ilikuwa interesting though. man listen THE WIRE is the best thing to come out of Television in ages man



Nani amekula chipsi kwa Shirima pale Upanga karibu na Shaaban Robert?

Nini kwa shirima mbona hujasema kuhusu zile chipsi za CONGO BAR?

au PILAU la HOTELI YA BUTIAMA pale magomeni

au Chai ya pale K TEA SHOP?
 
Nilishasema kuwa itabidi niwe makini nanyi kwani huwa mnanipiga stati kwa kuibua majina na mambo ninayoyastukia basi nashindwa kuuchuna
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…