Hawa wabunge vipi!?

Hawa wabunge vipi!?

Ushimen

Platinum Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
43,532
Reaction score
108,790
Natazama East Africa Television.
Mbunge wa Bukene Tabora Mh:Suleiman Jumanne katika maelezo ametamka neno Mrabaha, badala ya Mrahaba.
Kosa kama hilo lili fanywa na Mh: Naibu wa Nishati na madini ktk kipindi cha dakika 45 ITV.
Ninyi waheshimiwa, mnawachanganya wapigakura wenu na watanzania kwa ujumla.
 
oh..!! sory moods, tupia hiyo kitu kwenye jukwaa la siasa.
nimekosea sababu ya ghadhabu na jazba.
 
Natazama East Africa Television.
Mbunge wa Bukene Tabora Mh:Suleiman Jumanne katika maelezo ametamka neno Mrabaha, badala ya Mrahaba.
Kosa kama hilo lili fanywa na Mh: Naibu wa Nishati na madini ktk kipindi cha dakika 45 ITV.
Ninyi waheshimiwa, mnawachanganya wapigakura wenu na watanzania kwa ujumla.

YES, wako sahihi. Hatuna neno Mrahaba kwenye Kiswahili, ni MRABAHA kama walivyosema
 
Natazama East Africa Television.
Mbunge wa Bukene Tabora Mh:Suleiman Jumanne katika maelezo ametamka neno Mrabaha, badala ya Mrahaba.
Kosa kama hilo lili fanywa na Mh: Naibu wa Nishati na madini ktk kipindi cha dakika 45 ITV.
Ninyi waheshimiwa, mnawachanganya wapigakura wenu na watanzania kwa ujumla.
Uaikosoe kitu ambacho hauna uhakika nacho ndugu....

Neno sahihi ni MRABAHA na si MRAHABA...

Watu wengi(wakiwemo) Wanahabari wanalitumia neno Mrahaba kimakosa...
 
Natazama East Africa Television.
Mbunge wa Bukene Tabora Mh:Suleiman Jumanne katika maelezo ametamka neno Mrabaha, badala ya Mrahaba.
Kosa kama hilo lili fanywa na Mh: Naibu wa Nishati na madini ktk kipindi cha dakika 45 ITV.
Ninyi waheshimiwa, mnawachanganya wapigakura wenu na watanzania kwa ujumla.

Chaguwa CDM uone kama hutaelewa kipi ni kipi!
 
kiswahili hatujui kiingereza hatufahamu yaani.....?
 
Back
Top Bottom