hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Jarida la soccer nchini Brazil (placar) limemtaja Neymar kama mchezaji bora zaidi kuwahi kutokea katika historia ya soccer la Brazil baada ya nguli Pele
.Aidha mourinho amelipinga jarida hilo nakuwataja ronaldo de lima na rivaldo kwamba ndio wanaostahiki heshima hiyo
May take ===NAULIZA TU WAKUU HIVI HIYO KAMPUNI INAYO LICHAPISHA HILO JARIDA IMEROGWA AU WAMEKULA MAHARAGE YA WAPI "? ...
.hivi kweli neymar ni wa kumuweka kwenye hilo daraja " kabisaaa kisha wakamuacha mtu kama ronaldinho. Rivaldo .ronaldo .kaka. garincha na manguli wengine wengi waliotangulia ''..... huyu neymar wanaye mpa hizi promo hajawahi kuufikia hata uwezo wa ridondo ijapo kuwa ridondo hakuwa raia wa Brazil
Sent using Jamii Forums mobile app
.Aidha mourinho amelipinga jarida hilo nakuwataja ronaldo de lima na rivaldo kwamba ndio wanaostahiki heshima hiyo
May take ===NAULIZA TU WAKUU HIVI HIYO KAMPUNI INAYO LICHAPISHA HILO JARIDA IMEROGWA AU WAMEKULA MAHARAGE YA WAPI "? ...
.hivi kweli neymar ni wa kumuweka kwenye hilo daraja " kabisaaa kisha wakamuacha mtu kama ronaldinho. Rivaldo .ronaldo .kaka. garincha na manguli wengine wengi waliotangulia ''..... huyu neymar wanaye mpa hizi promo hajawahi kuufikia hata uwezo wa ridondo ijapo kuwa ridondo hakuwa raia wa Brazil
Sent using Jamii Forums mobile app