hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
- Thread starter
- #21
Jamaa alikuwa ni mtu hatari sana " naukubali uwezo wake .. ila kwa upande wangu mimi messi ndiye mtu Anaye ni duwaza katika maisha yangu ya burudani ya mpira wa miguuKwangu mimi sijawahi kumwona mshindani wa Ronaldinho Gaucho. Hata malaika mbinguni wameburudishwa sana na soka lake.
Sent using Jamii Forums mobile app