Hawa viongozi washauriwe wapumzike

Hawa viongozi washauriwe wapumzike

Revolution

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2008
Posts
1,420
Reaction score
1,738
Pichani ni Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda na Swahiba wake kutoka Sudan Kusini wakiwa wanatembea kwa taabu kweli kweli.

Ninawashauri Wazee wangu hawa wapumzike waache vijana waongoze Nchi.

Waige Mfano wa Sleepy Joe wa Marekani aliyeamua kung'atuka kwasababu ya umri.

 
Screenshot_20250406-170146.jpg

Anzia kwenu 😁
 
Pichani ni Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda na Swahiba wake kutoka Sudan Kusini wakiwa wanatembea kwa taabu kweli kweli.

Ninawashauri Wazee wangu hawa wapumzike waache vijana waongoze Nchi.

Waige Mfano wa Sleepy Joe wa Marekani aliyeamua kung'atuka kwasababu ya umri.

View attachment 3295515
Hao kitakachowatenga na uraisi ni 'kifo' tu
 
Pichani ni Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda na Swahiba wake kutoka Sudan Kusini wakiwa wanatembea kwa taabu kweli kweli.

Ninawashauri Wazee wangu hawa wapumzike waache vijana waongoze Nchi.

Waige Mfano wa Sleepy Joe wa Marekani aliyeamua kung'atuka kwasababu ya umri.

View attachment 3295515
Kati ya hao kuna aliyefikisha umri wa mzee wetu wasirra?
 
Ngoja tumwambie Kaneruigaba atushauri.
Pichani ni Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda na Swahiba wake kutoka Sudan Kusini wakiwa wanatembea kwa taabu kweli kweli.

Ninawashauri Wazee wangu hawa wapumzike waache vijana waongoze Nchi.

Waige Mfano wa Sleepy Joe wa Marekani aliyeamua kung'atuka kwasababu ya umri.

View attachment 3295515
 
Madaraka yanalevya!
Utamu wake huwezi kuujuwa mpaka uwe rais
 
Back
Top Bottom