Uncle Yoso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 378
- 262
Kuna Kiongozi mmoja wa nchi Kawakalisha Maafisa wa elimu kuanzia saa 1 asubuh mbaka muda huu utashangaa kiongozi mwenyewe umri nimempita miaka 10.
Jamani cheo sio mkungu wa kuwatwangia watu kila mtu anamajukumu kama yako mheshimiwa tunatofautina vitambi ila mboga ni zilezile
Jamani cheo sio mkungu wa kuwatwangia watu kila mtu anamajukumu kama yako mheshimiwa tunatofautina vitambi ila mboga ni zilezile