jembe mwanaharakati
Member
- Jun 21, 2012
- 27
- 8
Ndugu wana JF kuna dhana mbalimbali zimeibuka juu ya sababu ya mabadiliko ya sheria ya mafao ya kujitoa, dhana hizi ni
1. Inasemekana NSSF na PPF wanajiandaa kuwachotea CCM fedha za kampeni 2015
2. Inasemekana baada ya serikali kukopa fedha nyingi kwenye haya mashirika yaani NSSF na PPF sasa yanaelekea kufilisika.wadau km kuna yeyote ana tetesi zaidi aziweke ili zitusaidie kuwaeleza waTz wengi zaidi.
nawasilisha
1. Inasemekana NSSF na PPF wanajiandaa kuwachotea CCM fedha za kampeni 2015
2. Inasemekana baada ya serikali kukopa fedha nyingi kwenye haya mashirika yaani NSSF na PPF sasa yanaelekea kufilisika.wadau km kuna yeyote ana tetesi zaidi aziweke ili zitusaidie kuwaeleza waTz wengi zaidi.
nawasilisha