it was VERY STUPID DECISION, sijui ni ya wabunge au SSRA wamekurupuka!
Wangekuwa na upeo wangeweza kurekebisha wizi wa miaka yote unaofanyika, mtu unachangia miaka 1, 5, 20, 40
halafu unakuja kupewa mchango wako tu eti na riba ya 1%, it was nonsense. Sasa wanakuja na kubwa kuliko
Nalipa PAYE almost 30-40% ya mshahara wangu, uliobaki nalipia kodi tena kwa kila ninachokinunua 18%! Nakatwa NSSF 10%, mwajiri wangu ananibana kunipa mshahara mkubwa akidai anatoa 10% kunilipia NSSF. ina maana zaidi ya nusu ya kipato changu kinarudi serikalini kwa ajili ya kodi na PAYE..... wadau mnalijua hilo?
maskini huyu mtu amefanya kazi karibu 12 years, na mchango wake sasa ni zaidi ya 70M! hata utaratibu wa sasa hususani NSSF kwamba ukifika 15 years ya kazi, unakuwa pensinabo! hata ukiacha kazi na umefikisha miaka hiyo 55, unalipwa robo, ingine unaanza kulipwa kidogo kidogo kwa mwezi sooo kigodo huku wakiombea ufe! then that is the end! Halafu huyu ndugu akifa leo, ati sharia inasema wraith wapewe mchango wake tu wa mwajiri wanabaki nao
imagine!
life span ni ndogo so mabilion ya pesa yamekuwa yakiachwa hata kwa utaratibu uliopo juzi! sasa wakaona hizo zinazobaki hazitoshi badala yake wanataka watu wafe wengi na zibaki zaidi... ndio lengo la SSRA na serikali yake ambayo niliitiii hadi juzi nilipochoma kadi ya CCM! kwa mara ya kwanza nimewaelewa wa Tunisia/Libya/Egypty.
Mama huyu wa SSRA anatuambia eri unakatwa 10% tu na kama maendeleoa ungefanya na hio 90% (kasema Jahazi) eti hio 10% itakusaidia nini! what the hell is this?
nilitaka niache sawa kazi za mwajiri wangu ili nichukue mtaji nijianzishie ujasiliamali na niajiri wa Tz wenzangu wapo mtaani, sasa wanakuja na uchawi huu.
siamnini kama wabunge walijadili, watu kwa sasa tunafuatilia sana n bunge, iweje hii ipite hivi hivi? ona maoni ya watu hapo juu, nenda jamii forum.. ina maana hatukuona haya yote, walichojadili ni kinachofanana tu wala sio direct la kusitisha mchango wa kujitoa. au vile wabunge mafao yao hupokea baada ya miaka 5 hawayaoni haya?
If wabunge wetu walijadili na kulielewa hili, basi wanastahili tuanze kwa kuwapiga mawe! ndio
tumechoka na vitu kama hivi ambavyo vinahitaji kufikia kwa kichwa chepesi.
nina hasira sana
mdau
Nokoyani Sijwagu.