cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,070
- 1,687
Habar wakuu,
Natumia sim ya samsung A02 nikitaka ku screen shot inakataa ina maana hii cm haina screen shot? Pia nilikuwa najaribu kuangalia option ya finger print pia hakuna ina maana samsung wamechoka kias kwamba wameshindwa kuweka finger print na screen shot kwenye A02?
Chief mkwawa ni kweli hawana screen shot na finger print au mm mwenyewe tu nimeshindwa kugundua zilipo?
Natumia sim ya samsung A02 nikitaka ku screen shot inakataa ina maana hii cm haina screen shot? Pia nilikuwa najaribu kuangalia option ya finger print pia hakuna ina maana samsung wamechoka kias kwamba wameshindwa kuweka finger print na screen shot kwenye A02?
Chief mkwawa ni kweli hawana screen shot na finger print au mm mwenyewe tu nimeshindwa kugundua zilipo?