Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
paka hawafi kirahisi rahisiNilikuwa nimewawekea sumu kwenye chakula wakula nimetoka sasa hivi nje nimekutana nao wako buheri wa afya tena bega kwa bega
hahahahaNilikuwa nimewawekea sumu kwenye chakula wakula nimetoka sasa hivi nje nimekutana nao wako buheri wa afya tena bega kwa bega
Nilikuwa nimewawekea sumu kwenye chakula wakula nimetoka sasa hivi nje nimekutana nao wako buheri wa afya tena bega kwa bega
HahahahahaBaada ya kusumbuliwa na panya kwa muda nikaamua kutafuta paka, kweli since then panya kwangu hakunaa. Huyo paka akazaa dume..sasa tokea hapo huyo dume ndio amekuwa mume wa paka mama na cha ajabu kabisa wameanzisha tabia ya kupigana miti mbele zetu hata mbele ya wageni yaani wenyewe ni popote pale. Inakera sana. Yaani wanaanza romance mpaka kuchapana dushelele mbele ya familia.
Milio ile ya nuksi nuksi kama watoto wanalia wenyewe wanaipiga tena mchana kweupe bila woga
Je, hii ni nuksi au kawaida au ndio utandawazi.
Na juzi juzi hapa kazaa vipaka vibubu havilii vyenyewe ni kutoa macho tu ndani ya miezi miwili sijawahi kuvisikia vinalia hata tone. Nimesha dash out. Wamebakia hawa vicheche-nyegere paka.
Nawagawa wallah watake wasitake!!