Hawa ni wa Kutupwa Lupango Haraka Sana

Hawa ni wa Kutupwa Lupango Haraka Sana

jnuswe

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
1,270
Reaction score
549
Jamani najua wapo wengi lakini, kwa suala hili sakata la rada ningekuwa ni mimi wa kwanza ni Hosea then Chenge, sikuu nyingi wa ngekuwa huko tena pasipo kuruhusu dhamana
 
kabisa,hasa Chenge angetakiwa apigwe na viboko kama 50 hivi kwa kuhujumu nchi kwa ufisadi
 
Hata wale waliotafuna £ mil 2 za msaada kwenye chama chetu
 
Hela za chama ! ni vizuri wakatajwa kama alivyo tajwa chenge hapo
Komu(Mkurugenzi wa Fedha na Utawala Chadema),Philimon Ndesamburo na Freeman Mbowe! Wamekula £ 2m ni bomu ambalo litalipuka soon!
 
Mi naona Mbowe inabidi atupwe lupango fasta. Anaharibu sana vijana wetu na kumbi yake ya starehe-Billz
 
Komu(Mkurugenzi wa Fedha na Utawala Chadema),Philimon Ndesamburo na Freeman Mbowe! Wamekula £ 2m ni bomu ambalo litalipuka soon!
Nilikuuliza makusudi mimi, sina uhakika, ila hoja hapo ya msingi ni kwamba Chenge ile ni hela ya wavuja jasho watanzania, sasa wewe unaleta longolongo la bomu litalipuka
 
Magamba wanamtetea CHENGE kwa wizi alioufanya,kweli hiki ni chama cha majambazi,CCM ni majambazi hakika wamepoteza dira siku zao zinahesabika.
 
Mi naona Mbowe inabidi atupwe lupango fasta. Anaharibu sana vijana wetu na kumbi yake ya starehe-Billz


kumbe ni kumbi ya starehe ! kwenye starehe hawalazimishwe kwenda ni wao tu na akili zao na pesa zao
 
sasa hii chuki binafsi na wivu wa kitanzania
Kumbuka kiongozi ni kioo cha jamii! Kiongozi gani anayepromot uovu? Namuheshimu sana Mbowe, lakini anchonikera nacho ni lile Jengo lake pale kati kati ya mji!
 
Back
Top Bottom