Hawa ni Kiboko ya Rais Magufuli?

N
Una hoja nzuri sana mkuu. Magufuli lazima aambiwe ukweli. Yeye hana hakimiliki ya UKWELI. hajahodhi UKWELI. kama Muhongo alivyowahi kusema, UKWELI UTABAKIA KUWA UKWELI. Ila nadhani Benno Ndulu anamgwaya kwa ajili ya nafasi yake? lakini Huyu jamaa anatoka mkoa gani? maana haya maswali yanaanza kuwa muhimu kujiuliza. Kwa utawala wa Mkapa au JK nisingejiuliza, lakini kwa Magu, mmmhh... inabidi ujiulize mtu anatoka mkoa au kanda gani katika Tanzania
Ndullu anatoka Morogoro!!! Unajingine mtafuta makabila ya watu!!!
 
Una hoja nzuri sana mkuu. Magufuli lazima aambiwe ukweli. Yeye hana hakimiliki ya UKWELI. hajahodhi UKWELI. kama Muhongo alivyowahi kusema, UKWELI UTABAKIA KUWA UKWELI. Ila nadhani Benno Ndulu anamgwaya kwa ajili ya nafasi yake? lakini Huyu jamaa anatoka mkoa gani? maana haya maswali yanaanza kuwa muhimu kujiuliza. Kwa utawala wa Mkapa au JK nisingejiuliza, lakini kwa Magu, mmmhh... inabidi ujiulize mtu anatoka mkoa au kanda gani katika Tanzania
Ukisema unayojiuliza utapimwa mkojo
 
Si ndo maana chama chetu likachukuwa "wapinga UFISADI" makamanda LOWASA, SUMAYE na KINGUNGE waingie IKULU.
Wao wangehakikisha hao wote wapo ndani. Tehtehteh!
Binafsi naamini kwamba "UMASIKINI SIO UZALENDO "..., siupendi umasikini..., nachukia umasikini lakini pia sipendi kuona mafanikio yangu yanabaki kwangu tu huku wengine wakiteseka kwa njaa na maradhi..., lakini siwezi pia kukumbatia umasikini kwalengo lakuthibitisha uzalendo wangu.., umaskini sio alama ya uzalendo.., sielewi kwanini serikali za Afrika nyingi zinajisifu kuwa ni "serikali za wanyonge na maskini".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo Dotto James kuna vikao na magu waziri wake anaachwa nje lakini yeye lazima ahudhurie,

huyo mpwa ni untouchable.

Kalemani naye wa home hata afanye madudu gani hafanywi chochote ni mpendwa wa Nduli.
Seriously, unamuita Mhe. Rais 'Nduli', really??
 
Binafsi naamini kwamba "UMASIKINI SIO UZALENDO "..., siupendi umasikini..., nachukia umasikini lakini pia sipendi kuona mafanikio yangu yanabaki kwangu tu huku wengine wakiteseka kwa njaa na maradhi..., lakini siwezi pia kukumbatia umasikini kwalengo lakuthibitisha uzalendo wangu.., umaskini sio alama ya uzalendo.., sielewi kwanini serikali za Afrika nyingi zinajisifu kuwa ni "serikali za wanyonge na maskini".

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu masikini na wanyonge wapo na ndio wengi. Pia umasikini na unyonge wao mwingi umesababishwa na hao unaowapenda "Matajiri" kwa kuwaibia wenzao kwenye UFISADI kama RICHMOND/DOWANS, IPTL,KAGODA, MEREMETA, LUGUMI, ESCROW, DEEP GREEN, TANGOLD na madili mengine mengi tu!
Asilimia kubwa ya hao mtajiri utajiri wao unatokana na madili yanayowanufaisha wao binafsi na kuwaacha waibiwa wengi ambao ndio masikini na wanyonge ambao Magufuli ameamua kuwatetea kwa kuhakikisha hakuna tena UFISADI na MADILI yanayowaumiza masikini na wanyonge nchini.
 
Tuwekee na list ya wanyonge wake

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu list yake ya wanyonge ni hii hapa:

1. Watu walioko katika lindi kubwa la kupindukia la ujinga
2. Watu walioko katika lindi kubwa la kupindukia la umasikini
3. Watu walioko katika lindi kubwa la maradhi

Hao ndiyo marafiki zake na kila anayejikomboa katika lindi hilo anakuwa adui yake namba moja. Mkulu anawafurahia walioko kwenye kundi hilo na ni nia yake wabakie humo. Wakielemika wakaanza kuhoji tu wanakuwa maadui zake.

Kwa list hiyo marafiki zake ni kama hawa hapa:

1. machinga
2. wapiga debe
3. boda boda
na waaina hiyo.

Watu hawa hufurahia mno kila mwenye nacho anaponyanyaswa na mamlaka .. aka anapotumbuliwa.
 
Si ndo maana chama chetu likachukuwa "wapinga UFISADI" makamanda LOWASA, SUMAYE na KINGUNGE waingie IKULU.
Wao wangehakikisha hao wote wapo ndani. Tehtehteh!
hilooooo hata alichekeshi. Je na huyo sokwe wenu mwenye phd feki hahaha
 
Mkuu hili neno wanyonge linakera, basi tu ningekuwa na uwezo ningelifuta kabisa lisionekane mahali popote hata kwenye kamusi.
Kweli kabisa, watu wanaitwa wanyonge kisha wakinyongwa wanalalalmika, mimi nilishakataa kabisa kwamba ni mnyonge, au mlalahoi, au kabwela.
 
Kweli kabisa, watu wanaitwa wanyonge kisha wakinyongwa wanalalalmika, mimi nilishakataa kabisa kwamba ni mnyonge, au mlalahoi, au kabwela.
Sawa mkuu, watu wanatakiwa wajitambue na watambue kwamba kuwa mnyonge sio sifa. Ni kweli ukishakubali kuwa mnyonge unanyongwa tu, hakuna namna nyingine.
 
Sawa mkuu, watu wanatakiwa wajitambue na watambue kwamba kuwa mnyonge sio sifa. Ni kweli ukishakubali kuwa mnyonge unanyongwa tu, hakuna namna nyingine.
Maana wanasemaga mnyonge mnyongeni laini haki yake mpeni, sasa wananyogwa maana wahenga washaruhusu, na haki pia hawapati maana wahenga wa kuwatetea washakufa.
 
Waliovunjiwa nyumba kibamba
Halafu Magu anavyopenda kuvunja jamani! si ndio huyu alitaka kuliteremsha lile ghorofa la TANESCO? yeye ni BOMOA KOMOA tu toka enzi zile za mkapa. na siku watu wengi wanalia kwa kubomolewa nadhani anapata usingizi mnono sana huyu Magu
 
Halafu Magu anavyopenda kuvunja jamani! si ndio huyu alitaka kuliteremsha lile ghorofa la TANESCO? yeye ni BOMOA KOMOA tu toka enzi zile za mkapa. na siku watu wengi wanalia kwa kubomolewa nadhani anapata usingizi mnono sana huyu Magu
Ni Roho mbaya tu, visasi na husda
 
Mtoa mada anaendeshwa na mihemko. Ebu fafanua vizur ubabe wa huyo doto na makonda kwa jpm.uhakiki ulianza mwaka jana na waliohusika ktk kuhakikiwa wanajulikana na hakuna hata mmoja aliwahi kuhoji mbona kundi flani alihakikiwi?unafika mda wa matokeo ya uhakiki huku ukijua wazi hakuna RC,DC au kiongoz yyt wa SIASA na ngazi za juu aliyehakikiwa unataka jpm amtumbue makonda kwa vyeti feki.Huo uhakiki kwa ma RC ulifanywa lini?

Kama ni haki sawa mlikua mnaitaka mbona hadi sasa hakuna kiongoz yyt wa SIASA alieomba uhakiki urudiwe kwa ngazi hizo zilizoachwa?kwann mnaangaika na makonda tu na sio viongoz waliobaki?je akitumbuliwa makonda haki ndo itakua imetendeka?


Huyo doto umeshindwa kuonesha ni jinsi gan anatakiwa atumbuliwe zaid ya kuwa na hisia za ukanda na UKABILA. Umetanguliza ukabila na ukanda ktk kujenga hoja badala ya uhalisia.

posti fromu Nokia kitochi yuzingi jamii forum
 
Back
Top Bottom