Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
kwa muda wa siku mbili sasa NHC wanafurusha wapangaji wasiolipa huku wakiwa na Lundo la waandishi wa TV,leo kwa waliotazama channel ten habari ya saa 1;00 usiku,kwakweli nimeona move ya bure pale MAELEZO.
Serikali Vs Serikali kugombana vile siyo sawa!
Je wataendelea AU leo ndiyo mwisho
Serikali Vs Serikali kugombana vile siyo sawa!
Je wataendelea AU leo ndiyo mwisho