Ma Mshuza
JF-Expert Member
- Feb 26, 2019
- 251
- 1,256
1. Wanaume ambayo wanaandika threads kujiongelea mambo yao au mambo general.
2. Wanaume ambao hawana matusi hata kunapokuwa na hali ya wao kuchokozwa hunyamaza au kupuuza.
3. Wanapenda kushare mambo na wenzao si wachoyo wa taarifa.
4. Si wale hujifanya wao wanajua sana kutongoza kila mwanamke.
5. Wanaojiheshimu na kuheshimu mawazo ya wengine.
Hawa wanaume wapo JF ingawa ni wachache.kuna ambao wanakuja PM kutaka wanawake ukimkataa basi anaamua kukuchafua.wengine wanakuwa na tabia za kike tena za mabaa medi.ukimkataa basi kila ukianzisha thread anakuja kuponda au kama wewe ni mwanamke atakuita mwanaume kwa kukuchagulia ID ya mwanaume ambaye anahisi wewe unamkubali.
Niwachambe na nyie vitoto vya kiume mnaokuja PM Kutongoza.mnatuma picha na namba zenu za simu kwenye picha mnaonekana hata afya hamna.kianaume kina kilo 40-70 kinakuja eti kunitongoza.mmfyuuuu..... nenda kale kwanza upate afya siyo kutafuta pa kufia.
Sijali wala nini....ndo nshasema hivooo...
2. Wanaume ambao hawana matusi hata kunapokuwa na hali ya wao kuchokozwa hunyamaza au kupuuza.
3. Wanapenda kushare mambo na wenzao si wachoyo wa taarifa.
4. Si wale hujifanya wao wanajua sana kutongoza kila mwanamke.
5. Wanaojiheshimu na kuheshimu mawazo ya wengine.
Hawa wanaume wapo JF ingawa ni wachache.kuna ambao wanakuja PM kutaka wanawake ukimkataa basi anaamua kukuchafua.wengine wanakuwa na tabia za kike tena za mabaa medi.ukimkataa basi kila ukianzisha thread anakuja kuponda au kama wewe ni mwanamke atakuita mwanaume kwa kukuchagulia ID ya mwanaume ambaye anahisi wewe unamkubali.
Niwachambe na nyie vitoto vya kiume mnaokuja PM Kutongoza.mnatuma picha na namba zenu za simu kwenye picha mnaonekana hata afya hamna.kianaume kina kilo 40-70 kinakuja eti kunitongoza.mmfyuuuu..... nenda kale kwanza upate afya siyo kutafuta pa kufia.
Sijali wala nini....ndo nshasema hivooo...