Hawa ndo waekezaji wa kichina

Hawa ndo waekezaji wa kichina

Tanzanians

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2025
Posts
250
Reaction score
365
Hawa ndo waekezaji wa kichina nchini Tanzania
  • Wachina wanafungua car wash
  • Wachina wanafungua supermarket
  • Wachina wanafungua maduka ya kuuza bajaji na pikipiki
  • Wachina wanafungua maduka ya rejareja
  • Tender nyingi na kubwa wanapewa wachina
  • Wachina wanafanya uchimbaji wa madini mdogo
  • Wachina wameharibu bei vibaya mno ni ngumu kwa mfanyabiashara wa kitanzania kushindana nao
  • Machina mteja anayetaka pisi moja anamuuzia sawa na anayetaka pisi 500
  • Wachina swala la kodi hawalijui hawatoi risiti kabisa
wachina wanapewa mali/bidhaa kwa bei ambayo hata wewe ukinunua China ni ngumu kuuziwa hivyo huyo mtu unashindaye vip mkija Tanzania lazima mchina atauza kwa bei ndogo kuliko mfanyabiashara wa Tanzania

China angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.

(X zaman twitter tunatumia user name ya made in tz_ au made in Tanzania project)
 
Hawa ndo waekezaji wa kichina nchini Tanzania
  • Wachina wanafungua car wash
  • Wachina wanafungua supermarket
  • Wachina wanafungua maduka ya kuuza bajaji na pikipiki
  • Wachina wanafungua maduka ya rejareja
  • Tender nyingi na kubwa wanapewa wachina
  • Wachina wanafanya uchimbaji wa madini mdogo
  • Wachina wameharibu bei vibaya mno ni ngumu kwa mfanyabiashara wa kitanzania kushindana nao
  • Machina mteja anayetaka pisi moja anamuuzia sawa na anayetaka pisi 500
Wewe Mleta mada kaa hapo hapo na upumbavu wako watanzania kibao wamewekeza China

Mmojawapo huyu hapa


View: https://youtu.be/QQh-Bakln4E?si=NY2K2KNIIGMZIX3y
 
Siku hizi ukienda masaki,kawe,msasani na mbezi beach pamoja na mbweni wanaishi wamelala ndani yani wanatumia ngozi nyeusi kuendesha biashara zao kwa leseni za zilizojificha kwa mzawa.

Usije shangaa rafiki au jamaa ukaona na amzigo mwingi ambao hata benk iwezi kumpa mkopo kumbe ndio wanafanya sasa hivi
 
Siku hizi ukienda masaki,kawe,msasani na mbezi beach pamoja na mbweni wanaishi wamelala ndani yani wanatumia ngozi nyeusi kuendesha biashara zao kwa leseni za zilizojificha kwa mzawa.

Usije shangaa rafiki au jamaa ukaona na amzigo mwingi ambao hata benk iwezi kumpa mkopo kumbe ndio wanafanya sasa hivi
Nenda china kuna mji una waafrika zaidi ya laki moja wana makazi na biashara China wewe kaa na ujinga wako
 
Hawa ndo waekezaji wa kichina nchini Tanzania
  • Wachina wanafungua car wash
  • Wachina wanafungua supermarket
  • Wachina wanafungua maduka ya kuuza bajaji na pikipiki
  • Wachina wanafungua maduka ya rejareja
  • Tender nyingi na kubwa wanapewa wachina
  • Wachina wanafanya uchimbaji wa madini mdogo
  • Wachina wameharibu bei vibaya mno ni ngumu kwa mfanyabiashara wa kitanzania kushindana nao
  • Machina mteja anayetaka pisi moja anamuuzia sawa na anayetaka pisi 500
Biashara nyingi za kibongo zilikuwa za wizi wizi sasa Mungu kutuletea wachina wacha waaweke sana mmetuibia sana wezi wakubwa nyie hasa wachaga

USSR
 
Back
Top Bottom