Hawa ndo wabunge wanawake tunaowataka?

Hawa ndo wabunge wanawake tunaowataka?

mwanamke1

Member
Joined
Oct 14, 2011
Posts
41
Reaction score
14
> Nimegundua kinadada wengi sana wanataka kuwa wabunge ktk uchaguzi ujao, lkn hakuna hata mmoja mwenye nia ya kugombea jimbo, wengi wanatafuta kujiweka kwa wabunge wanaume wa sasa ili watoe kitu kidogo (ngono) wapate tiket ya kuingia bungeni...

> naomba tusaidiane mawazo, ni njia ipi mbadala ya kumuwezesha mwanamke apate ubunge bila kungonolewa>>>

>naomba wanaume baadhi ya viongozi (si wote) muache kuwangonoa kinamama kwa kigezo cha kuwapa ubunge, washaurini namna ya kupata hiyo nafasi bila kumsaula nguo zake.....mwe!
 
hii post inafiti majukwaa takriban yote, siasa, mmu, chitchat, mchanganyiko, biashara, complaints

agrrrr ..,

hongera sana mwanamke1
 
Sofia Simba na Anna Kilango (alipoanza kumvulia Malecela tu...........
 
wanajipendekeza ili wapate viti maalum
 
Kama hiyo njia wanahisi ni sahìhi, waache wakazwe.
 
Mnh. Kwa hiyo wale wamama/wadada wooote nao waonaga mle ndani wooote wale ni maji ga nyanja??
 
Mnh. Kwa hiyo wale wamama/wadada wooote nao waonaga mle ndani wooote wale ni maji ga nyanja??

sangarara, simaanishi wote, lkn hali inapoelekea ni mbaya zaidi.. mfano wabunge wa viti maalum waliopenya mwaka jana, ukiwaangalia wana vigezo? na pia viongozi wengi hawana nia nzuri na viti maalumu, maana sasaivi wamewajaza viburudisho kibao pale, no mchango bungeni kazi ni kutoa burudani kwa wabwana zao
 
Kama hiyo njia wanahisi ni sahìhi, waache wakazwe.


mzee nakuheshim, watatupeleka wapi kama taifa?? kama kukazwa ndo kigezo cha kuingia mjengoni??? mzee, ebu jipange upost tena
 
wanawake wakiwezeshwa wanaweza

raia, huko ndiko kuwezeshwa kumbe? nadhani kama ndio maana yake, ni bora wangetuacha kama tulivyo...ndo maana mimi sikubaliani na hiyo sera ya yao ya kutaka kutungonoa kwa kisingizio kwamba mwanamke hawezi, SISI TUNAWEZA BILA KUWEZESHWA....
 
Ndio maana bungeni machangudoa ni wengi.... Kama demu alikuwa ohio akatoa uroda vzuri anazawadiwa pesa, simu kali na sasa ubunge!
 
wanajipendekeza ili wapate viti maalum

HANRY, kwa kutoa kitumbua?? na hao viongozi wanaume hawatufai ktk faifa hili...wanawachakachua wanawake ili wawape nafasi bungeni, je huo ndo utawala bora?? angejiskiaje kama angefanyia mtoto wake, dada ake, mama ake, nk
 
Dama ndogo sana, ni kufuta viti maalum. Tusipoangalia mbele ya safari huko na mashoga watadai viti maalum.
 
Ndio maana bungeni machangudoa ni wengi.... Kama demu alikuwa ohio akatoa uroda vzuri anazawadiwa pesa, simu kali na sasa ubunge!

Dk wa ukweli, ebu niambie tunakoenda ni wapi? tunataka wanawake wenye uwezo wa kujenga hoja na kutusemea matatizo yetu, sasa kama mtu kabanduliwa tu na kuingia kwenye nafasi nyeti kama hiyo, taifa litaacha kuwa GIZANI???????

tunaitaji wanawake tena wengi sana 50% kwa 50%, lkn siyo hao wataalamu wa kuburudisha kwenye 6 kwa 6
 
sangarara, simaanishi wote, lkn hali inapoelekea ni mbaya zaidi.. mfano wabunge wa viti maalum waliopenya mwaka jana, ukiwaangalia wana vigezo? na pia viongozi wengi hawana nia nzuri na viti maalumu, maana sasaivi wamewajaza viburudisho kibao pale, no mchango bungeni kazi ni kutoa burudani kwa wabwana zao

ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! ila ndio ukweli huuuuuuuuu siwanataka maisha ya mteremko ndio washateremka hvy ndugu yangu
 
Mbona Getruda Lwakatare hana hoja Bungeni? tofauti na awapo Kanisani kwake. sijawahi kumsikia huyu mama akiwatetea wala kuwasemea wajane, mayatima na maskini wengine. Mama Mchungaji please uko kimya sana.
 
ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! ila ndio ukweli huuuuuuuuu siwanataka maisha ya mteremko ndio washateremka hvy ndugu yangu

Sina pa Kwenda, huu ni msiba au bomu kwa taifa hili, au we huoni?? ebu leta solusheni ndugu yangu, ikibidi kuandamana mimi nitakuwa wa kwanza, na kama vinaachwa basi watakaopata wawe na vigezo....

sina maana kama ni vibaya hapana, lakini hofu yangu ni kwamba hata walioleta hiyo sera lengo lao halikuwa kumuweka mwanamke anaejua kutoa ngono vizuri....wapewe wanawake wenye uwezo na vigezo vinavyostahili
 
Back
Top Bottom