> Nimegundua kinadada wengi sana wanataka kuwa wabunge ktk uchaguzi ujao, lkn hakuna hata mmoja mwenye nia ya kugombea jimbo, wengi wanatafuta kujiweka kwa wabunge wanaume wa sasa ili watoe kitu kidogo (ngono) wapate tiket ya kuingia bungeni...
> naomba tusaidiane mawazo, ni njia ipi mbadala ya kumuwezesha mwanamke apate ubunge bila kungonolewa>>>
>naomba wanaume baadhi ya viongozi (si wote) muache kuwangonoa kinamama kwa kigezo cha kuwapa ubunge, washaurini namna ya kupata hiyo nafasi bila kumsaula nguo zake.....mwe!
> naomba tusaidiane mawazo, ni njia ipi mbadala ya kumuwezesha mwanamke apate ubunge bila kungonolewa>>>
>naomba wanaume baadhi ya viongozi (si wote) muache kuwangonoa kinamama kwa kigezo cha kuwapa ubunge, washaurini namna ya kupata hiyo nafasi bila kumsaula nguo zake.....mwe!