Hawa ndo Kuku wa Malawi

Wadau, nimefuga kuku wa Malawi. Nilichukua vifaranga kama 200 sasa hivi wanaendelea vizuri ni wiki ya 4 sasa.

Kwa mliotangulia naombeni msaada. Je, hawa kuku kuna haja ya kuwalisha hata usiku?

View attachment 367361
Hapana wataalamu wa mifugo tunakushaur kuwalisha mchana tuu na usiku waendelee kula chakula kilicho bakia mchana ili kuongeza ukuaji
By me
 
ni chotara wa Malawi mkuuu
 
Mkuu kwani unawafungua midomo kuwalisha we we waekee wenyewe watapima
uko sahihi kwa kejer but huh ni mrad so vichekesho unge kua mfugaji using jib ulicho fikiri
 
na mm nahitaji 0765505756
 
Kwa wa kienyeji, kiini ni cha njano. Sanasana kitakua rangi ya chungwa akila 'sana' majani. Yai shurti kiini kiwe cha njano. Nje ya hapo ni matatizo tu. Hao kuku wa kisasa ndani hata ufanyeje kiini hakiwi cha njano kamwe. Labda mpauko wa njano.
Mkuu naona unataka kupotosha.kuku anapokula majani ndiyo anavyoweza kutoa mayai yenye kiin cha njano.mfano mm nina kuku wa kizungu pure nimewafuga kienyeji kila ck wanataga japo ganda la nje linaonekana kama yai la kizungu but njoo ndani kiini ni cha njano sana.
Hivyo kua makini na coments uzitoazo.u naweza potosha wenzako.
 
Nahitaji Kuchi, wapi nitawapata mkuu?
 
Nami niko Morogoro na ningependa kuwapata hao kuku wa Malawi, niunganishe pls...
 
wafugaji nauza mbegu ya azolla itakusaidia sana kukupa chakula cha kulisha kuku au nguruwe
 
kwa kiasi chochote cha vifaranga huyu mdau ndo suruhisho lako ktk ufugaji wa kuku yuko MOROGOGORO ila ana sambaza nyanda za juu kusini kote yaan
iringa
songea
mbeya
songwe
rukwa
katavi
nk

namba zake

+255 717 063 852
 
Tuma picha ya kuku na yai likiwa kabla na baada ya kulivunja. Nakuhakikishia kuku wa kisasa hawezi kuwa na yai kiini cha njano kama yule wa kienyeji.

Halafu hata yakikaangwa au kupikwa ya kienyeji yana ladha zaidi. Ya kisasa hamna kitu.

Then utunzaji wa hao wa kisasa ndo balaa....
 
hao hapo wa malawi wakiwa na miezi 4 bamda la pembeni ni sasso waliwa na mwezi na nusu.
malawi japo ni kama wa kienyeji ila wanataka uangalizi sana wana ugonjwa wa kunya chokaa na baada kufa ...tiba yake ni chenga za mkaa kwa kuchanganya kwenye chakula
 

Attachments

  • 1476605988844.jpg
    103.2 KB · Views: 173

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…