Shukrani Mkuu kwa hizo data,vipi suppliers wake wako wapi hapa tz??Kuna idadi ya kuku inayotakiwa ili ukiagiza wakuletee??Shukrani MkuuIli kupangiwa muda ina bidi useme
1.una hitaji vifaranga wangapi
2.wa umrigani?
NB: vifaranga wana tofautiana bei kulingana na umri unao chukulia na mahala wanako patikana
kwa hapa nilipo
Wasiku 1=2000
kuanzia wiki 1-2 =3000
wiki 2-4=5000
Muda wa order hauzidi siku 22
nami ni pm namaba zako niko karibu na mpakanihawa kuku kwa sasa wana patikana maeneo mengi tz ktk poutry productions wanaenea kwa kasi maana kuku hawa ni madini wana vumilia kila hali na magonjwa hapo morogoro wapo ngoja nikutafutie namba za wahusika kwa huko but mi nili combine na washkaji Tukaagiza 1000 wale og malawi kabisa maana nilipo ni mpakan kabisa na malawi then tuka gawana hata hapa nilipo wapo lakin kwa order
Kwani wewe upon wapi???.Ili kupangiwa muda ina bidi useme
1.una hitaji vifaranga wangapi
2.wa umrigani?
NB: vifaranga wana tofautiana bei kulingana na umri unao chukulia na mahala wanako patikana
kwa hapa nilipo
Wasiku 1=2000
kuanzia wiki 1-2 =3000
wiki 2-4=5000
Muda wa order hauzidi siku 22
Shukrani Mkuu,tafadhari naomba uweke address zao ili iwe rahisi kuweza kuwapata.Ili kupangiwa muda ina bidi useme
1.una hitaji vifaranga wangapi
2.wa umrigani?
NB: vifaranga wana tofautiana bei kulingana na umri unao chukulia na mahala wanako patikana
kwa hapa nilipo
Wasiku 1=2000
kuanzia wiki 1-2 =3000
wiki 2-4=5000
Muda wa order hauzidi siku 22
historia ya kuku hawa hii apa but wana itwa wa malawi coz kwa ukanda wa nnchi zetu walitangulia kufika na kuenea malawiWametoka Malawi au ni jina tu?
hongera
Mimi nilinunulia pale cona ya tegeta nyuki
wakuu naomba kujua chanjo ya ndui ifaayo kwa vifaranga wa kuku
Mayai yao yanakuwaje ni kama ya kisasa au ya kienyeji??Best breed ever,utagaji wao ni non stop