Hawa Ndiyo Wanawake

Masai wa Town

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
6,714
Reaction score
24,511
Kuna mke wa mfanyakazi wa taasisi yetu alisikia kuwa mfanyakazi akifa, siku ya mazishi mke wake atapewa na taasisi 3m, atapokea michango ya rambirambi kutoka kwa wafanyakazi na ataendelea kupokea net salary ya mumewe kwa miezi 24, akajaribu kumuuwa muewe kwa sumu, mume akanusurika
 
Huu ni utunzi wa kweli au unatuuliza ?
 
Hujaweka mchai chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…