Hawa ndiyo wahenga Bongo waliooa wazungu

Wee ni muongo mke wa Kingunge ni muhaya wa kamachumu,Muleba Ila ana asiri ya India.Anaongea kihaya pure.Hana unasaba wowote na Uzungu.
 
Kweli mkuu.
Kuna demu nilikuwa naye siku zilizopita, yaani alikuwa akiliongelea sana.

Alikuwa akiongea product ya mzungu na mwafrica(watoto) wanakuwa wazuri mno.

Mungu amsaidie sana japo hatukufanikiwa lengo letu.
Kwahiyo hiyo product inakuongezea kipato?? Au ni watoto wa kawaida tu!
 
Dr winani from Tarime pia mkewe ni mzungu, bila kumsahau Dr Sanga lecturer st john pia mkewe ni mzungu, ila huku mtaan kwetu sie tunajiachia na waarabu na wahindi mazalia, karibu sana salawi upate wife materia rangi nyeupe ( waarabu na wahindi)
Kwahiyo mdr tu ndo wanaongoza kuoa wazungu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…