Hawa ndiyo binadamu

Lakini wengine hatuko hivyo
 
😂😂😂😂😂 heee jamani kwahiyo mtu asifanye mambo yake kisa ww unashida? Na kama anazo haimaanishi hazina kazi inawezekana anazo ila zina mipango
Ni heri hata angejibu basi kuwa hana wakati huu kilichoniuma siyo kushindwa kunikopesha ni kitendo cha kunikalia kkimya na kubluetiki msg yangu😪😪
 
Kuna watu tuna Mimi kuanzia voda na Aireli huko kote sikopeshwi, ukija mikopo ya mitandao ndo kabisa Wala hata hawanikubalii, wengine lakini wanakubaliwa isee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…