Hawa ndio wenye ccm.

Hawa ndio wenye ccm.

I am very sorry members; I do not see a point in the thread; none absolutely.

Hivi wewe kama Baba yako ni CCM; likelihood yako wewe kuwa CCM lazima itakuwa kubwa kuliko kufuata vyama vyengine ambavyo sio CCM.

Wewe kama mumeo ni CCM likelihood ya wewe kuwa CCM ni kubwa,

The same applies to CUF

The same applies to CHADEMA and others

Na katika kuendeleza ile list aliyoiweka mwanzilishi wa thread

utaenda

Dr Shein ................Mrs Shein

Warioba ................. Butiku

;;;;

llll

,,,

and so on

and so fourth

na hatimaye itamkuta


Slaa na Mrs Slaa


wakati wa Slaa kurudi CCM ukishafika!


🙂



This is hilarious
 
Kasim majaliwa vs kikwete.huyu ni mjomba wake riz1 kabisa
Kassim Majaliwa hana uhusiano wa kuzaliwa na ukoo wa Mama Salma Kikwete mimi namfahamu vizuri sana ni Mwalimu wangu alinifundisha Hisabati Shule ya Msingi Mpilipili Lindi mwaka 1986 aliondoka Shuleni hapo kwenda kwenye masomo Mwanza.
 
Kassim Majaliwa hana uhusiano wa kuzaliwa na ukoo wa Mama Salma Kikwete mimi namfahamu vizuri sana ni Mwalimu wangu alinifundisha Hisabati Shule ya Msingi Mpilipili Lindi mwaka 1986 aliondoka Shuleni hapo kwenda kwenye masomo Mwanza.

Mkuu unayosema yanawezekana. Tena kabisa. Ila, kwa kuwa alikuwa mwl wako '86 na kwa kuwa pia unafahamu alienda kufundisha Mwanza, haina uhusiano wowote na kuthibitisha hawa wawili sio ndugu. Maelezo ambayo yangeweza angalau kuridhisha kuona sio ndugu ni kwa mfano kama Unafahamu kwa hakika na hivyo kutujuza kuwa Baba zao kwa majina ni nani, babu zao, walizaliwa lini kila mmoja, na mama zao waliwazaa hospitali zipi, au maeneo gani, ndugu wa kuzaliwa kwa idadi kamili na majina kwa upande wa Mama Salma na kwa upande wa Kassim Majaliwa, n.k. Kama huna majibu sahihi hata nusu angalau, itakuwa vigumu kuamini taarifa yako mkuu.
 
Back
Top Bottom