Hawa ndio waliosababisha waislam wakauwawa pale mwembechai

Status
Not open for further replies.

Mohamed Abubakar

JF-Expert Member
Jun 26, 2014
545
684
Baraza la maaskofu wa katoliki (TEC) ni kikundi cha wahuni na wanasiasa na wanaharakati waliojificha kwenye kivuki cha kanisa.

Nimesoma zaidi ya mara tano malengo ya kuanzishwa kwa TEC mbali na kufanya majukumu ya kiuchungaji sijaona wapi wanatakiwa kufanya siasa wanazifanya sasa.

TEC ni wanafiki na kikundi cha watu wanaochagua kusema matukio yasiyo na manufaa kwao lakini yenye manufaa kwao wanakaa kimya kama ambavyo walikaa kimya kwenye suala la miongoni mwao kupokea rushwa kwenye hela za ESCROW. Hawa ni wahuni tu hakuna jina jingine la kuwapa kwa wakati huu.

TEC ni wadini na wanadhani ukatoliki wao ndiyo unawapa haki ya kuwa wasemaji wa watanzania. TEC nyie ni wasemaji huko kanisani kwenu na kwa waumini wenu wa katoliki na si vinginevyo na hamjawahi kuwa wasemaji wa watanzania.

Unafiki wa TEC unadhihirika pale walipofunga mdomo kwenye nyakati ngumu sana walizopita watanzania . Mfano wa karibu ni mwaka 2020 pale Zanzibar wameuwawa watu sana wakati wa uchaguzi na nyie mlikuwa wapi kutoka na kusema sauti ya Mungu? Mlitoa tamko lolote au sauti ya Mungu ilikuwa bado hamjaisikia? Uchaguzi wa 2020 mlikuwepo nchini? Mlikuwa mmeshaanza kujua mambo ya sauti ya Mungu? Wakati maaskofu wenu wanapokea rushwa za ESCROW mlikuwa wapi? Au hamkuwa mmejua mambo ya sauti ya Mungu?

Awamu ile watu walikuwa wanatekwa, wanapotea , wanauwawa na kukutwa kwenye viroba mlikuwa wapi kusema sauti ya Mungu? TEC ni wanafiki na wahuni mliovaa makanzu ya upadre na hamna lolote la maana kusema mnawatetea watanzania.

TEC mnaongozwa na unafiki na mihemko ya kiasiasa ndiyo maana Katibu Mkuu wenu Padre Kitime hana haya na anathubutu na kuwa anaweza kualikwa kwenye majukwaa ya wanasiasa kupinga mambo ya bandari na mnaona sawa tu,kuna siku mliwahi kutoa kauli kumsema au kumkanya?

TEC mmejipima na mnadhani mnaweza kumchezea Rais mnavyotaka. Mmeaacha kazi yenu ya kuhubiri na kuchubga kondoo na kudhani mnaweza kuongoza nchi na kuyumbisha nchi. Huko kanisani mna majukumu mengi sana ya kufanya. Mmemaliza kushughulika na matatizo ya mapadre wenu kuwafanya mambo machafu watoto wadogo? Mmemaliza kushughulika na kanisa lenu kuvaniwa na ushoga na mnaona sawa tu?

TEC kama kwenye tovuti yenu tu mna strategic plan imekwisha muda na hamna habari hivi nyie ni watu serious kweli? Au ni wahuni tu ? Hii ni dalili kuwa malengo ya uwepo wenu yanatakiwa yatazamwe upya na kwa jicho kali sana. Yaani hizi ni dalili kiwa hamjui mnafanya nini

TEC kinachowauma siyo suala la mkataba wa bandari, kinachowauma ni kwa nini mwarabu na muislamu apewe bandari. Huo ndiyo mzizi wa hii vurugu na hamtaki kuambiwa hilo lakini sisi tunawaambieni. Hili lingefanywa na serikali ambayo rais ni mkatoliki msingepanua midomo kuongea. TEC huwa mnaumia sana mkiona watu ambao siyo wakatoliki wanafanya mambo kwenye hili taifa.

TEC mmeacha kazi yenu ya kichungaji na sasa mmetoka wazi wazi kuanza kuonyesha rangi yenu halisi ambayo mlijificha nayo muda mrefu sana. Kama mnadhani mnaweza kufanya siasa ingieni kwenye siasa tujue. Hamuwezi mkawa mnajidai ni watu wa Mungu halafu mnachagua kushughulika na matukio yenye maslahi na nyie kwa kisingizio cha kuwasemea watanzania. Watanzania walishachagua wabunge na hao ndiyo wasemeji wao kule bungeni. Nyie TEC mlichaguliwa na nani na wapi kuwa wasemaji wawatanzania? Au nani aliwatuma kuwa wasemaji wa watanzania?

TEC hampendi kuona nchi hii inakuwa na kiongozi ambaye siyo mkatoliki ,TEC hamtaki kuona nchi hii inakuwa na wawekezaji ambao siyo wakatoliki au wa kutoka dini yenu. Haya mnayoyafanya mnadhani mnajenga lakini madhara yake mtayaona mbele kidogo na kwa kuwarahisishia tu ni kuwa hii nchi siyo ya kidini wala TEC na wakatoliki hamna haki kuliko dini zingine.

Serikali ilishasema maoni ya wananchi yatafanyiwa kazi na hilo limeisha. Kujitia kimbelembele na kudhani mnaweza kulidharau bunge na kuhujumu serikali kwa haya matamko yenu ni kitu ambacho kitawatafuna mbeleni kwa kuwa dini zingine hawatakubali huu uhuni mnaoufanya kupitia Padre Kitime

#KigogoMediaUpdates
 
Baraza la maaskofu wa katoliki (TEC) ni kikundi cha wahuni na wanasiasa na wanaharakati waliojificha kwenye kivuki cha kanisa.

Nimesoma zaidi ya mara tano malengo ya kuanzishwa kwa TEC mbali na kufanya majukumu ya kiuchungaji sijaona wapi wanatakiwa kufanya siasa wanazifanya sasa.

TEC ni wanafiki na kikundi cha watu wanaochagua kusema matukio yasiyo na manufaa kwao lakini yenye manufaa kwao wanakaa kimya kama ambavyo walikaa kimya kwenye suala la miongoni mwao kupokea rushwa kwenye hela za ESCROW. Hawa ni wahuni tu hakuna jina jingine la kuwapa kwa wakati huu.

TEC ni wadini na wanadhani ukatoliki wao ndiyo unawapa haki ya kuwa wasemaji wa watanzania. TEC nyie ni wasemaji huko kanisani kwenu na kwa waumini wenu wa katoliki na si vinginevyo na hamjawahi kuwa wasemaji wa watanzania.

Unafiki wa TEC unadhihirika pale walipofunga mdomo kwenye nyakati ngumu sana walizopita watanzania . Mfano wa karibu ni mwaka 2020 pale Zanzibar wameuwawa watu sana wakati wa uchaguzi na nyie mlikuwa wapi kutoka na kusema sauti ya Mungu? Mlitoa tamko lolote au sauti ya Mungu ilikuwa bado hamjaisikia? Uchaguzi wa 2020 mlikuwepo nchini? Mlikuwa mmeshaanza kujua mambo ya sauti ya Mungu? Wakati maaskofu wenu wanapokea rushwa za ESCROW mlikuwa wapi? Au hamkuwa mmejua mambo ya sauti ya Mungu?

Awamu ile watu walikuwa wanatekwa, wanapotea , wanauwawa na kukutwa kwenye viroba mlikuwa wapi kusema sauti ya Mungu? TEC ni wanafiki na wahuni mliovaa makanzu ya upadre na hamna lolote la maana kusema mnawatetea watanzania.

TEC mnaongozwa na unafiki na mihemko ya kiasiasa ndiyo maana Katibu Mkuu wenu Padre Kitime hana haya na anathubutu na kuwa anaweza kualikwa kwenye majukwaa ya wanasiasa kupinga mambo ya bandari na mnaona sawa tu,kuna siku mliwahi kutoa kauli kumsema au kumkanya?

TEC mmejipima na mnadhani mnaweza kumchezea Rais mnavyotaka. Mmeaacha kazi yenu ya kuhubiri na kuchubga kondoo na kudhani mnaweza kuongoza nchi na kuyumbisha nchi. Huko kanisani mna majukumu mengi sana ya kufanya. Mmemaliza kushughulika na matatizo ya mapadre wenu kuwafanya mambo machafu watoto wadogo? Mmemaliza kushughulika na kanisa lenu kuvaniwa na ushoga na mnaona sawa tu?

TEC kama kwenye tovuti yenu tu mna strategic plan imekwisha muda na hamna habari hivi nyie ni watu serious kweli? Au ni wahuni tu ? Hii ni dalili kuwa malengo ya uwepo wenu yanatakiwa yatazamwe upya na kwa jicho kali sana. Yaani hizi ni dalili kiwa hamjui mnafanya nini

TEC kinachowauma siyo suala la mkataba wa bandari, kinachowauma ni kwa nini mwarabu na muislamu apewe bandari. Huo ndiyo mzizi wa hii vurugu na hamtaki kuambiwa hilo lakini sisi tunawaambieni. Hili lingefanywa na serikali ambayo rais ni mkatoliki msingepanua midomo kuongea. TEC huwa mnaumia sana mkiona watu ambao siyo wakatoliki wanafanya mambo kwenye hili taifa.

TEC mmeacha kazi yenu ya kichungaji na sasa mmetoka wazi wazi kuanza kuonyesha rangi yenu halisi ambayo mlijificha nayo muda mrefu sana. Kama mnadhani mnaweza kufanya siasa ingieni kwenye siasa tujue. Hamuwezi mkawa mnajidai ni watu wa Mungu halafu mnachagua kushughulika na matukio yenye maslahi na nyie kwa kisingizio cha kuwasemea watanzania. Watanzania walishachagua wabunge na hao ndiyo wasemeji wao kule bungeni. Nyie TEC mlichaguliwa na nani na wapi kuwa wasemaji wawatanzania? Au nani aliwatuma kuwa wasemaji wa watanzania?

TEC hampendi kuona nchi hii inakuwa na kiongozi ambaye siyo mkatoliki ,TEC hamtaki kuona nchi hii inakuwa na wawekezaji ambao siyo wakatoliki au wa kutoka dini yenu. Haya mnayoyafanya mnadhani mnajenga lakini madhara yake mtayaona mbele kidogo na kwa kuwarahisishia tu ni kuwa hii nchi siyo ya kidini wala TEC na wakatoliki hamna haki kuliko dini zingine.

Serikali ilishasema maoni ya wananchi yatafanyiwa kazi na hilo limeisha. Kujitia kimbelembele na kudhani mnaweza kulidharau bunge na kuhujumu serikali kwa haya matamko yenu ni kitu ambacho kitawatafuna mbeleni kwa kuwa dini zingine hawatakubali huu uhuni mnaoufanya kupitia Padre Kitime

#KigogoMediaUpdates
On point
 
Sio kwamba hatuwataki waarabu ama wazungu …vipengele vya mkataba ndio HATUVITAKI hata angekuja navyo Malaika Hatuvitaki … tumeukataaaa
 
Leo mapepo yanawapanda balaa, niliwaambia mapema TEC wakija na tamko maruhani yenu lazima yawapande...

Haya mnaona sasa!

Na bado, TEC hawataacha kukemea maovu, wajinga wakubwa nyie.
 
Baraza la maaskofu wa katoliki (TEC) ni kikundi cha wahuni na wanasiasa na wanaharakati waliojificha kwenye kivuki cha kanisa.

Nimesoma zaidi ya mara tano malengo ya kuanzishwa kwa TEC mbali na kufanya majukumu ya kiuchungaji sijaona wapi wanatakiwa kufanya siasa wanazifanya sasa.

TEC ni wanafiki na kikundi cha watu wanaochagua kusema matukio yasiyo na manufaa kwao lakini yenye manufaa kwao wanakaa kimya kama ambavyo walikaa kimya kwenye suala la miongoni mwao kupokea rushwa kwenye hela za ESCROW. Hawa ni wahuni tu hakuna jina jingine la kuwapa kwa wakati huu.

TEC ni wadini na wanadhani ukatoliki wao ndiyo unawapa haki ya kuwa wasemaji wa watanzania. TEC nyie ni wasemaji huko kanisani kwenu na kwa waumini wenu wa katoliki na si vinginevyo na hamjawahi kuwa wasemaji wa watanzania.

Unafiki wa TEC unadhihirika pale walipofunga mdomo kwenye nyakati ngumu sana walizopita watanzania . Mfano wa karibu ni mwaka 2020 pale Zanzibar wameuwawa watu sana wakati wa uchaguzi na nyie mlikuwa wapi kutoka na kusema sauti ya Mungu? Mlitoa tamko lolote au sauti ya Mungu ilikuwa bado hamjaisikia? Uchaguzi wa 2020 mlikuwepo nchini? Mlikuwa mmeshaanza kujua mambo ya sauti ya Mungu? Wakati maaskofu wenu wanapokea rushwa za ESCROW mlikuwa wapi? Au hamkuwa mmejua mambo ya sauti ya Mungu?

Awamu ile watu walikuwa wanatekwa, wanapotea , wanauwawa na kukutwa kwenye viroba mlikuwa wapi kusema sauti ya Mungu? TEC ni wanafiki na wahuni mliovaa makanzu ya upadre na hamna lolote la maana kusema mnawatetea watanzania.

TEC mnaongozwa na unafiki na mihemko ya kiasiasa ndiyo maana Katibu Mkuu wenu Padre Kitime hana haya na anathubutu na kuwa anaweza kualikwa kwenye majukwaa ya wanasiasa kupinga mambo ya bandari na mnaona sawa tu,kuna siku mliwahi kutoa kauli kumsema au kumkanya?

TEC mmejipima na mnadhani mnaweza kumchezea Rais mnavyotaka. Mmeaacha kazi yenu ya kuhubiri na kuchubga kondoo na kudhani mnaweza kuongoza nchi na kuyumbisha nchi. Huko kanisani mna majukumu mengi sana ya kufanya. Mmemaliza kushughulika na matatizo ya mapadre wenu kuwafanya mambo machafu watoto wadogo? Mmemaliza kushughulika na kanisa lenu kuvaniwa na ushoga na mnaona sawa tu?

TEC kama kwenye tovuti yenu tu mna strategic plan imekwisha muda na hamna habari hivi nyie ni watu serious kweli? Au ni wahuni tu ? Hii ni dalili kuwa malengo ya uwepo wenu yanatakiwa yatazamwe upya na kwa jicho kali sana. Yaani hizi ni dalili kiwa hamjui mnafanya nini

TEC kinachowauma siyo suala la mkataba wa bandari, kinachowauma ni kwa nini mwarabu na muislamu apewe bandari. Huo ndiyo mzizi wa hii vurugu na hamtaki kuambiwa hilo lakini sisi tunawaambieni. Hili lingefanywa na serikali ambayo rais ni mkatoliki msingepanua midomo kuongea. TEC huwa mnaumia sana mkiona watu ambao siyo wakatoliki wanafanya mambo kwenye hili taifa.

TEC mmeacha kazi yenu ya kichungaji na sasa mmetoka wazi wazi kuanza kuonyesha rangi yenu halisi ambayo mlijificha nayo muda mrefu sana. Kama mnadhani mnaweza kufanya siasa ingieni kwenye siasa tujue. Hamuwezi mkawa mnajidai ni watu wa Mungu halafu mnachagua kushughulika na matukio yenye maslahi na nyie kwa kisingizio cha kuwasemea watanzania. Watanzania walishachagua wabunge na hao ndiyo wasemeji wao kule bungeni. Nyie TEC mlichaguliwa na nani na wapi kuwa wasemaji wawatanzania? Au nani aliwatuma kuwa wasemaji wa watanzania?

TEC hampendi kuona nchi hii inakuwa na kiongozi ambaye siyo mkatoliki ,TEC hamtaki kuona nchi hii inakuwa na wawekezaji ambao siyo wakatoliki au wa kutoka dini yenu. Haya mnayoyafanya mnadhani mnajenga lakini madhara yake mtayaona mbele kidogo na kwa kuwarahisishia tu ni kuwa hii nchi siyo ya kidini wala TEC na wakatoliki hamna haki kuliko dini zingine.

Serikali ilishasema maoni ya wananchi yatafanyiwa kazi na hilo limeisha. Kujitia kimbelembele na kudhani mnaweza kulidharau bunge na kuhujumu serikali kwa haya matamko yenu ni kitu ambacho kitawatafuna mbeleni kwa kuwa dini zingine hawatakubali huu uhuni mnaoufanya kupitia Padre Kitime

#KigogoMediaUpdates


Sawa kabisa, ila baada tu ya wao kusema, kesi ya Uhaini imekufa? Wapo nje...
 
Leo mapepo yanawapanda balaa, niliwaambia mapema TEC wakija na tamko maruhani yenu lazima yawapande...

Haya mnaona sasa!

Na bado, wajinga wakubwa nyie.
Hawana jipya wanatingisha kiberiti tu tumeshawazoea walafi tu
 
Wewe uliyetoa bandiko lako umeishia darasa la ngapi??........maaana hoja zimetamkwa bila kutaja dini wewe umekazana waislam walikufa mwembe chai.........nakwambia kwa jinsi ulivyo malaya na mlevi wewe kuishi kwenye sharia tungekuwa kushakuzika zamani sana kwa kupigwa mawe mpaka ufe
 
Wewe uliyetoa bandiko lako umeishia darasa la ngapi??........maaana hoja zimetamkwa bila kutaja dini wewe umekazana waislam walikufa mwembe chai.........nakwambia kwa jinsi ulivyo malaya na mlevi wewe kuishi kwenye sharia tungekuwa kushakuzika zamani sana kwa kupigwa mawe mpaka ufe
Acha ukorofi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom