Juma chief
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 2,757
- 2,353
....
Unaweza kunitajia jina la hiyo shule? Una uhakika hapo ni Tanzania?.....
....
Kiongozi.mimi hawa watoto siwalaumu maana hata mama yao HAWA alikuwa mawenge......
....
Tumeshaacha kuwatongoza ndo maana unawaona hapo wanaandamana kwakukaa uchi sasa huoni watatubaka mkuuKiongozi.mimi hawa watoto siwalaumu maana hata mama yao HAWA alikuwa mawenge.
KIKUBWA NI KUACHA KUWATONGOZA.
Umetongozwa na wangapi?Watoto wa siku hizi wasipotongozwa wao ndio hutongoza wanaume
Ukiwajua watoto wakike.hawakupi shida.ni kuwapuuza.ni utoto wakikua wataacha.Tumeshaacha kuwatongoza ndo maana unawaona hapo wanaandamana kwakukaa uchi sasa huoni watatubaka mkuu
Usiwahukumu mkuu, mara nyingi hii ya kuchana sare na kuweka maandishi hufanyika siku ya mtihani wa mwisho...watu wanakuwa na furaha sana na huwa iko zaidi A/level wakiamini hawatovaa sare tena......
....
Secondary school ‘gala’ may be a trap for downfall | Face Of MalawiSio wabongo hao, acheni kuharibu sifa ya wanafunzi wetu.