Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
1. Akigombana na mwanaume utasikia akisema "una mambo ya kike wewe", akishasema hivyo basi mwanaume huwa mdogo kama piritoni na kuufyata(hata kama yeye ndio kakosewa).
2. Wengi wana kasumba ya kuwafananisha wanaume wanaogombana nao na wanawake kwani wameshaujua udhaifu wa wanaume wa TZ.
3. Wajuaji, na akiona mkaka hana shobo naye, basi hufanya juu chini kujilengesha ili atongozwe, na akishatongozwa humkatalia kwa dharau na kumfanya ajione mavi.
4. Wengi wana mambo ya kienyeji sana, ni ngumu kuwakuta wakijadili uchumi, siasa za kimataifa, sayansi n.k
5. Wana kauli mbovu kwa wanaume na hawapendi kujishusha hata kama wamekosa kwa kuwa wameshajua udhaifu wa wanaume kutopenda kuambiwa wana mambo ya kike.
2. Wengi wana kasumba ya kuwafananisha wanaume wanaogombana nao na wanawake kwani wameshaujua udhaifu wa wanaume wa TZ.
3. Wajuaji, na akiona mkaka hana shobo naye, basi hufanya juu chini kujilengesha ili atongozwe, na akishatongozwa humkatalia kwa dharau na kumfanya ajione mavi.
4. Wengi wana mambo ya kienyeji sana, ni ngumu kuwakuta wakijadili uchumi, siasa za kimataifa, sayansi n.k
5. Wana kauli mbovu kwa wanaume na hawapendi kujishusha hata kama wamekosa kwa kuwa wameshajua udhaifu wa wanaume kutopenda kuambiwa wana mambo ya kike.