Sisi tulipata watu kumi ktk tawi letu, na mikataba tulijaza tarhe 4 mwez huu, ila hadi leo tumebaki wawili tu, wengine wamesepa, mim mwenyewe nipo njiani kuacha, benk haina hata flayers, malipo kiduchu then vitu kibao mnajitegemea, kaz inahitaji kupiga simu mara kwa mara benk lakini hakuna allowance yeyote.
Mm nimeacha hiyo kaz last week.coz mwez mzima nilileta wateja 39.dah wakuu nikaambulia buku tatu tu.then wakakata kodi nikabakiwa na buku mbil.nililia sana kesho yake sikumuaga mtu nilisepa.walivyonipigia simu nukawatukaaaana mpaka bas
Hata kijana anayeuza karanga za mia mia anakuzidi mbali sana!
Nikki wa II kuja huku utoe darasa la "sitaki kazi"
uko sahihi, sema vijana wanataka kazi za kutumikishwa, ukiwaambia waje tuuze karanga wanaona aibu, wakati mtu unaweza kuuza utumbo wa kuku ukarudi na faida ya elf40 kwa siku, hautozwi kodi na mtu, na hapo ushakula unarudi home kulala tu mwisho wa mwezi una zaidi ya milioni!
Tatizo mnapenda mno kazi za kuvaa tai na kupiga porojo,huku Uswazi natengeneza buku 10 kila siku kwa kukaanga mihogo na kuchoma mahindi,siri ya mafanikio ni kuacha aibu chumbani,wengi wanaoana aibu eti ah mi nichome mahindi au ah nikaange chips dume,matokeo yake mnaambulia buku moja baada ya msoto wa kutafuta watu 19,kwanza kumpata hata mtu 1 wa kujiunga na hiyo Saccos oh samahani Benki ni shida ,sembuse watu 19.
uko sahihi, sema vijana wanataka kazi za kutumikishwa, ukiwaambia waje tuuze karanga wanaona aibu, wakati mtu unaweza kuuza utumbo wa kuku ukarudi na faida ya elf40 kwa siku, hautozwi kodi na mtu, na hapo ushakula unarudi home kulala tu mwisho wa mwezi una zaidi ya milioni!
Is it Ujamaa na Kujitegemea or Uzalendo? can the two be combined? on question of capitalism, does it mean that capitalism lacks patriotism?
That is the dillema facing Africa and Third World on chosing economic ideology and foundation for their own countries.
If we use Patriotism to equate success and stable growth of our countries, then capitalism can never win even though socialism has many flaws, but stands higher morally, hence strong element of patriotism with the likes of Nyerere, Nkrumah, Lumumba, Chaves and Castro!
uko sahihi, sema vijana wanataka kazi za kutumikishwa, ukiwaambia waje tuuze karanga wanaona aibu, wakati mtu unaweza kuuza utumbo wa kuku ukarudi na faida ya elf40 kwa siku, hautozwi kodi na mtu, na hapo ushakula unarudi home kulala tu mwisho wa mwezi una zaidi ya milioni!
acha utani 200 au laki 2.!
Kuna CRDB pia, nao ni washenzi wengine!
dah its shame kwa kweli behind these "white collar jobs" kwa hiyo Harpo pamoja na tai yako hata mzoa taka anakupiga gap kwa mwezi...
Mm nimeacha hiyo kaz last week.coz mwez mzima nilileta wateja 39.dah wakuu nikaambulia buku tatu tu.then wakakata kodi nikabakiwa na buku mbil.nililia sana kesho yake sikumuaga mtu nilisepa.walivyonipigia simu nukawatukaaaana mpaka bas