GE2025 Hawa Mwaifunga: CCM ndio chama chenye hela na ndicho chenye ilani na bajeti, kichagueni mpate maendeleo

GE2025 Hawa Mwaifunga: CCM ndio chama chenye hela na ndicho chenye ilani na bajeti, kichagueni mpate maendeleo

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Mgombea wa nafasi ya Ubunge jimbo la Tabora mjini kwa tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) Hawa Subira Mwaifunga amekutana na kuzungumza na kikundi cha wanawake na Samia mkoa wa Tabora;

Ambapo amewashauri kuendelea kukiamini na kukichagua tena Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa madai kwamba ndio chama kinachoongoza katika kuwaletea maendeleo na kuwainua wananchi kutoka kwenye umasikini hivyo ni muhimu wanachi wakakipa tena ridhaa ya kuiongoza serikali ili kikaendeleze azma hiyo.

 
Mgombea wa nafasi ya Ubunge jimbo la Tabora mjini kwa tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) Hawa Subira Mwaifunga amekutana na kuzungumza na kikundi cha wanawake na Samia mkoa wa Tabora;

Ambapo amewashauri kuendelea kukiamini na kukichagua tena Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa madai kwamba ndio chama kinachoongoza katika kuwaletea maendeleo na kuwainua wananchi kutoka kwenye umasikini hivyo ni muhimu wanachi wakakipa tena ridhaa ya kuiongoza serikali ili kikaendeleze azma hiyo.

Naunga mkono hoja, huu ndio ukweli wenyewe!.
P.
 
Huyu alikaa bungeni miaka 5 kama viti maalum, nikipi alichoisaidia wanatabora?
Utterly nonsense!
 
Mgombea wa nafasi ya Ubunge jimbo la Tabora mjini kwa tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) Hawa Subira Mwaifunga amekutana na kuzungumza na kikundi cha wanawake na Samia mkoa wa Tabora;

Ambapo amewashauri kuendelea kukiamini na kukichagua tena Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa madai kwamba ndio chama kinachoongoza katika kuwaletea maendeleo na kuwainua wananchi kutoka kwenye umasikini hivyo ni muhimu wanachi wakakipa tena ridhaa ya kuiongoza serikali ili kikaendeleze azma hiyo.

Kinazo pesa za wanamtandao na za kuwakamua watz
 
Back
Top Bottom