Hawa ma-miss Tanzania wapo wapi kwa sasa?

SAWEBOY

JF-Expert Member
Apr 6, 2011
241
174
a.jpg
2002 Miss TZ


a.jpg
bahamez.jpg
2003 Miss TZ

Je wameshaolewa na wana familia zao? Maana sijasikia skendo zao hawa mabinti....! Au ile ELIMU waliyoipata pale UDSM imekuwa very useful to them kuweza kujitambua?

Maana Anjela Damas na S. Bahame kwa wale ambao walikuwa UDSM 2002/2003 to 2005/2006 watawakumbuka sana hawa mabinti.

Bahame yeye alikuwa kitivo cha sheria (LLB), wakati Anjela yeye alikuwa anasoma Bachelor of Sociology. Sasa nashangaa anjela mbona haji-socialize na kutaka kuonekana na jamii?

S.Bahame je...ni masharti ya kazi au??

NB: Wapo wapi hawa watoto wazuri?? Anayejua please.
 
Unataka wawe kama wema sepetunga.

Hapana sina nia hiyo, lakini pia nilikuwa najaribu ku-husianisha elimu waliyo-ipata na chuo walichosoma pamoja na course zao...na jinsi walivyopotea....maana hawaonekani kabisa and no skendo to them. So, are they mothers now...rearing their families (hubby and kids)?

Je ukisoma kozi za hapa na pale halafu ukigombea umiss Tz halafu ukashinda ndio unakuwa mcharukooo kama Wema sepenga?
 
Back
Top Bottom