Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,327
- 24,194
(Sosi: TzDaima)
Sijui kitu gani kitawatenganisha!!
marafiki wengi ni wakati wa kuzungusha vyombo kwa meza!!Rafiki mzuri ni yule anayekujali wakati wa shida
Hata kwa Pilato wako pamoja!!Halima Mdee na Esther Bulaya walikuwa marafiki hata wakati Bulaya alivyokuwa bado CCM japo hilo lilikuwa haliwapendezi kabisa Ma CCM na hata mojawapo ya silaha aliyokuwa anaitumia Wassira kumkandamiza Bulaya kwenye vikao vya chama ni kwamba anatoa siri zao kwa wapinzani (kupitia Mdee).