Point of No Return 19
Senior Member
- Jul 2, 2023
- 194
- 454
Nina mtoto wa kiume wa sister wangu.
Ana miaka 21
Mwakajuzi alisumbuliwaa na macho kaambiwa anaupungufu wa Vitamn
Akapewa madawa ya kuongeza vitamin
Safari hii amekua akihisi ganzi miguuni na uchovu na maumivu
Kaenda hospital kaambiwa Ana Damu 10 hivyo kapewa folic acid na neuruton
Naomba kuuliza tatizo hili linasababishwa na nin ??
Na vyakula gani huongeza Damu kwa haraka ?
Ana miaka 21
Mwakajuzi alisumbuliwaa na macho kaambiwa anaupungufu wa Vitamn
Akapewa madawa ya kuongeza vitamin
Safari hii amekua akihisi ganzi miguuni na uchovu na maumivu
Kaenda hospital kaambiwa Ana Damu 10 hivyo kapewa folic acid na neuruton
Naomba kuuliza tatizo hili linasababishwa na nin ??
Na vyakula gani huongeza Damu kwa haraka ?