Waende tu walikopeleka mboga,maana hata wakirudi watakuwa hawana mvuto,
Wakati ule walikuwa hata wakiigiza siasa wanapiga kotekote wakiamua mfano kumuigiza mrema,komba,au bunge la makinda lilivyokuwa walikuwa wanafanya kweli,
nakumbuka waliigiza Wakati ule Lowasa kaitwa na kamati ya Nidhamu kwa kuanza kampeni mapema,wakaigiza kwamba wamwita kupiga nae picha tu ila hawana uwezo wa kumhoji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.