Hawa jamaa wanatisha

Hawa jamaa wanatisha

Mgirik

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
13,258
Reaction score
13,367
Nmeiona video akichinjwa live dah! Inatisha sana
 

Attachments

  • 1424085305633.jpg
    1424085305633.jpg
    22 KB · Views: 1,618
wanapigania dini. waislam wa tz hawajaandamana wala kutoa tamko hata mara moja. silence means wanawasapoti hao wauaji kwasababu wanapigania dini yao. ila mtume akichorwa hapo wanaandamana na kusababisha hadi kifo.
 
wanapigania dini. waislam wa tz hawajaandamana wala kutoa tamko hata mara moja. silence means wanawasapoti hao wauaji kwasababu wanapigania dini yao. ila mtume akichorwa hapo wanaandamana na kusababisha hadi
kifo.

Hivi na wakiristo wanayasapoti haya mbona na wao hawajaandamana? Acha kukariri kutoandamana hakumaanishi kukubali
 
Hivi na wakiristo wanayasapoti haya mbona na wao hawajaandamana? Acha kukariri kutoandamana hakumaanishi kukubali
ulishawahi kusikia shehe yeyote tz ametoa tamko kuwakana hawa jamaa? kwasababu wanapigana kwa jina la uislam, mbona hamjatoa tamko kumkana lakini mkiona ubalozi wa vatican mnataka kuandamana uondolewe, mkiona mudi amechorwa mnatamani hata kujitoa mhanga. safisheni dini yenu basi kwasababu inajidhihirisha kuwa ni ya kikatili, kuaji na kishetani.
 
hivi na wakiristo wanayasapoti haya mbona na wao hawajaandamana? Acha kukariri kutoandamana hakumaanishi kukubali

wataandamanaje w3akati lao moja?????????????
 
Binafsi mie hao kina alshabab sijui al qaedah sijui isis kama ndio wanavyoitwa nawashangaa sana kweli waislam gani hao kutwa kufanya mauaji........

...Shule inasaidia sana nashkuru kwa kulitambua hilo..
 
Binafsi mie hao kina alshabab sijui al qaedah sijui isis kama ndio wanavyoitwa nawashangaa sana kweli waislam gani hao kutwa kufanya mauaji........

inasikitisha,inatia uchungu,inatia simanzi

HII DUNIA SI SEHEMU SALAMA TENA
 
wanapigania dini. waislam wa tz hawajaandamana wala kutoa tamko hata mara moja. silence means wanawasapoti hao wauaji kwasababu wanapigania dini yao. ila mtume akichorwa hapo wanaandamana na kusababisha hadi kifo.

Huyo mchinjaji ni mzungu convert feki. Wanachinjwa na wazungu feki.mbona mpaka waislam wanachinjwa tu na hao convert feki?
 
Hii makitu wala haitishi tena.
Imeshakua kawaida sana.
Watafute mbinu nyingine barbaric zaidi.
 
Binafsi mie hao kina alshabab sijui al qaedah sijui isis kama ndio wanavyoitwa nawashangaa sana kweli waislam gani hao kutwa kufanya mauaji........
​si wanasema ndo wanaenda peponi wakifanya huo u.pu.pu
 
Binafsi mie hao kina alshabab sijui al qaedah sijui isis kama ndio wanavyoitwa nawashangaa sana kweli waislam gani hao kutwa kufanya mauaji........

Kuna watu humu JF sijui wameishia la saba... sasa kwani hawa IS wana uhusiano gani na imani ya Kiislamu? je wanaouliwa wote ni Wakristu? mbona had waislamu wenzao wanawapiga moto na kuwatupa juu toka gorofani! Someni vijana wenzangu msipende ushabiki... akili kisoda
 
wataandamanaje w3akati lao moja?????????????

Dah kumbe watanzania wengi hawajasoma na hata wenye shahada vichwa vyao vimejaa maji.. kaeni na ujinga wenu wa kutopenda kufatilia mambo.. Hivi unajua chanzo cha IS? Unajua nini America imefanya baada ya kukataliwa kuingia Syria na Its allies Russia?
Unajua Foreign Policy ya America ya Intervention and Construction maana yake nini?
Unajua kama hao IS ni agenda ya America kutaka kuipiga Syria?
Friends someni na muwe mnafatilia siasa za Amerika, msikurupe na kuanza kuusema uislamu., Akili visoda.:A S-baby:
 
Dah kumbe watanzania wengi hawajasoma na hata wenye shahada vichwa vyao vimejaa maji.. kaeni na ujinga wenu wa kutopenda kufatilia mambo.. Hivi unajua chanzo cha IS? Unajua nini America imefanya baada ya kukataliwa kuingia Syria na Its allies Russia?
Unajua Foreign Policy ya America ya Intervention and Construction maana yake nini?
Unajua kama hao IS ni agenda ya America kutaka kuipiga Syria?
Friends someni na muwe mnafatilia siasa za Amerika, msikurupe na kuanza kuusema uislamu., Akili visoda.:A S-baby:

Tatizo kaka wao sera yao wanasema wanatetea uislam pia hakuna muislam aliyewakana mngewakana mnafiki angejulikana
 
inasikitisha,inatia uchungu,inatia simanzi

HII DUNIA SI SEHEMU SALAMA TENA


Na marekani ndio amesababisha yote hayo, wamemuondoa Saddam Iraq haikaliki tena, wanemuondoa gadaf Libya haikaliki tena
 
Back
Top Bottom