Hawa jamaa sijui wanakifukuzia kimbe gani?

Hawa jamaa sijui wanakifukuzia kimbe gani?

Tony Laurent

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
6,424
Reaction score
8,369
Sijui ni kiumbe gani huyu anayefukuzwa?
18.jpg
 
Ni mchezo unafanana na Hokey..na hao wanaocheza ni Tuaregs wa nchini Mali ni mchezo wao wa asili.
 
Wafuasi wa Manyaunyau hao! Hamjui kwamba Manyanyau sasa hivi yuko level ya International na amefungua matawi ya ofisi yake nchi za nje!
 
Nimefurahishwa na hiyo vurugu mechi iliyoko kwenye mchezo unaoonyeshwa na picha hii. Vilevile nime appreciate umbo la mguu wa huyo mwanamme wa katikati (kanzu ya bluu), mguu una shape nzuri utafikiri ni mzaliwa wa Katavi, loooh!!!
 
Nimefurahishwa na hiyo vurugu mechi iliyoko kwenye mchezo unaoonyeshwa na picha hii. Vilevile nime appreciate umbo la mguu wa huyo mwanamme wa katikati (kanzu ya bluu), mguu una shape nzuri utafikiri ni mzaliwa wa Katavi, loooh!!!

hao ni wa Tuareg ! Wapiganaji wa zuri wa vita vya jangwani (enzi hizo) wanakunywa maziwa ya ngamia !
 
Back
Top Bottom