MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,706
- 4,923
Enzi zetu wakati nakuwa mambo hayakuwa kama ilivyo sasa.
Nakumbuka, nilikuwa nikishuhudia viongozi wengi sana wakistaafu huku wakiwa hawana miliki ya vitu vingi.
Nionavyo Mimi, naona tayari MEZA imeishapinduliwa.
Maadui wakubwa wa Tanzania ni:
1. UJINGA (Enzi zetu hii ilikua kwà WANANCHI/ RAIA)
2. MARADHI (yalikuwa kwà Watumishi na Wafanyakazi)
3. UMASIKINI (ulikuwa kwà Viongozi)
Nasema meza imepinduliwa kwasababu, hivi sasa. UJINGA umewatawala viongozi walio wengi. Na wengi wao wanajidanganya kuhamasisha ujenzi wa mashule kwà ajili ya Wananchi wakati kiukweli kwasasa Wananchi hawana shida kabisa ni hizo shule zao (Kwani wameishagundua haziwasaidii watoto wao zaidi ya kuwatia UMASIKINI/wanaona bora wakae na watoto wao wasiwapeleke shule kupoteza muda na mwisho kuambulia Kukosa Kazi/ajira)
VIONGOZI wengi wamejirundikia mali za wizi na kuwafanya Wananchi/ Raia kuwa na UMASIKINI uliokithiri.
USHAURI: Ndugu zangu, hatuwezi kamwe kuwaondoa hawa maadui kwà kuipindua meza tutakua tunajidanga sisi wenyewe tu.
Ni vyema tukajitafakari sana kwà dhati ya mioyo yetu na kwà kukubaliana na ukweli. Tusiyakwepe matatizo tuliyonayo kwà kuyapaka rangi ya lips.
Tujitahidi sana kuzitumia experiences zetu, lessons zetu, study zetu na wisdoms zetu vizuri.
Mimi Mzee Kipusa, kwà dhati ya moyo wangu nina amini ya kwamba taifa letu haliwezi kamwe kuendelea na kuwa lenye Mafanikio kama tukiruhusu Milango na Madirisha yetu kuwa yamefungwa muda wote. Ni lazima tukubaliane kuifungua either Milango au Madirisha (kimojawapo). Hapa ndipo tutaweza kupiga hatua za kweli na zenye uhakika.
Nakumbuka, nilikuwa nikishuhudia viongozi wengi sana wakistaafu huku wakiwa hawana miliki ya vitu vingi.
Nionavyo Mimi, naona tayari MEZA imeishapinduliwa.
Maadui wakubwa wa Tanzania ni:
1. UJINGA (Enzi zetu hii ilikua kwà WANANCHI/ RAIA)
2. MARADHI (yalikuwa kwà Watumishi na Wafanyakazi)
3. UMASIKINI (ulikuwa kwà Viongozi)
Nasema meza imepinduliwa kwasababu, hivi sasa. UJINGA umewatawala viongozi walio wengi. Na wengi wao wanajidanganya kuhamasisha ujenzi wa mashule kwà ajili ya Wananchi wakati kiukweli kwasasa Wananchi hawana shida kabisa ni hizo shule zao (Kwani wameishagundua haziwasaidii watoto wao zaidi ya kuwatia UMASIKINI/wanaona bora wakae na watoto wao wasiwapeleke shule kupoteza muda na mwisho kuambulia Kukosa Kazi/ajira)
VIONGOZI wengi wamejirundikia mali za wizi na kuwafanya Wananchi/ Raia kuwa na UMASIKINI uliokithiri.
USHAURI: Ndugu zangu, hatuwezi kamwe kuwaondoa hawa maadui kwà kuipindua meza tutakua tunajidanga sisi wenyewe tu.
Ni vyema tukajitafakari sana kwà dhati ya mioyo yetu na kwà kukubaliana na ukweli. Tusiyakwepe matatizo tuliyonayo kwà kuyapaka rangi ya lips.
Tujitahidi sana kuzitumia experiences zetu, lessons zetu, study zetu na wisdoms zetu vizuri.
Mimi Mzee Kipusa, kwà dhati ya moyo wangu nina amini ya kwamba taifa letu haliwezi kamwe kuendelea na kuwa lenye Mafanikio kama tukiruhusu Milango na Madirisha yetu kuwa yamefungwa muda wote. Ni lazima tukubaliane kuifungua either Milango au Madirisha (kimojawapo). Hapa ndipo tutaweza kupiga hatua za kweli na zenye uhakika.