Hawa Halotel mboni Mtandao mzito hivi?

Hawa Halotel mboni Mtandao mzito hivi?

Mtandao sio powa, utajisumbua tu ! Mabando yao pia hayaeleweki, mb zinaisha tu yani bila kujua umetumiaje ? Hawa jamaa ni matapeli..... kitambo sana niliwatemea mbali
Hapo kwenye bold umesema kweli ila dah hakuna namna acha tutumie hivyo hivyo tu naona sasa unasoma fresh hapa asubuhi ulikua mzito sana
 
Hao wajinga wakati wanakuja around 2013/2014 walikuwa wanavimba kwamba wanakuja kuleta mapinduzi ya vifurushi vya mtandao, hasa Internet. Sijui ni mwanasiasa gani aliwaleta hao Vietnamese. 😁
Mara tunaunga mtandao vijiji vyote TZ, Internet itakuwa bei kiduchu. Mara ziii... jero unapewa 200MB. 😁
Hii bongo jau sana aisee.
Sema walikuja fresh na speed ya kasi mno, nasikia wali pigwa spana watulie kidogo.

Hata halopesa yao ni ya kiwaki siku hizi.
 
Sema walikuja fresh na speed ya kasi mno, nasikia wali pigwa spana watulie kidogo.

Hata halopesa yao ni ya kiwaki siku hizi.

Lazima watakuwa walibanwa, voda mtandao wa wakubwa nchi hii. Dizaini ni kama walikuwa wanatishia sana hasa ile sera yao ya huduma bei kiduchu. Wangemharibia voda ambayo kimsingi ni biashara ya wakubwa nchi hii.
 
mm chenye kilinifanya nihame halotel,n mtandao bahili yan hamna bonasi kabisa.Ila nilipoamia voda bonasi zipo kibao,na npo hewan 24\7 sio kama halotel.
 
Lazima watakuwa walibanwa, voda mtandao wa wakubwa nchi hii. Dizaini ni kama walikuwa wanatishia sana hasa ile sera yao ya huduma bei kiduchu. Wangemharibia voda ambayo kimsingi ni biashara ya wakubwa nchi hii.
Walikuja na ile 1500 unlimited usiku mzima, 500 gb 1 ka sio mbili.

Offer kibao kwa bei ya big g, halafu kila wiki new package, ghafla mambo yaka vurugika.

Siku yana vurugika manager wa mkoa fulani alisema hapa hamna kazi tena, Maana walipewa rules za kuzifata ambazo ni strict sana
 
Back
Top Bottom