Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 719
Waziri anaye shughulikia wizara ya TAMISEMI amesema ameambiwa hana uwezo wa kuiongoza TAMISEMI kawni wizara hiyo inahitaji mtu makini mwenye weledi na nikubwa mno.
Taarifa yake ilikuwa kama utetezi kwamba hasimamii utendaji wa halmashauri na hasa wakurugenzi wake.
Amesema yeye anajitahidi kuwauliza wabunge kama halmashuri zao zina wakurugenzi mizigo,anasema wengi wa wabunge wamemwambia halmashauri zao zina wakurugenzi wazuri tu,sasa angechukueji hatua.
Hii imekuwa kama kujibu mwito wa yeye pamoja na waziri Mkuu Pinda kufukuzwa kazi kwa utendaji usio ridhisha.Wabunge walisema Pinda na mama Ghasia hawatoshi kenye nafasi.
Taarifa yake ilikuwa kama utetezi kwamba hasimamii utendaji wa halmashauri na hasa wakurugenzi wake.
Amesema yeye anajitahidi kuwauliza wabunge kama halmashuri zao zina wakurugenzi mizigo,anasema wengi wa wabunge wamemwambia halmashauri zao zina wakurugenzi wazuri tu,sasa angechukueji hatua.
Hii imekuwa kama kujibu mwito wa yeye pamoja na waziri Mkuu Pinda kufukuzwa kazi kwa utendaji usio ridhisha.Wabunge walisema Pinda na mama Ghasia hawatoshi kenye nafasi.