lady black
Member
- Jul 13, 2013
- 10
- 2
dawa yao kama wakikuajiri elolink unafanya kama miezi 6 then unafanya mishe na watu wa bank hapo wakutoe kwenye sytem ya elolink ili wasikukate hela kubwa
Yawezekana ukawa mdau wa erolink si bure....Ukizingati Erolink anakueleza in advance nini kitatokea.
loh si mchezo na vipi hao wanaopata nbc kupitia elolink wanalipwa sh ngapi
yaani hawa jamaa sjui nani anawapa jeuri aise ni wanyonyaji hasa skuizi voda wana walipa kwenye laki mbili na themanini nafkiri no medical wala nini mtu unaishi vipi kwa mshahara huo matokeo yake jamaa wa voda walioajiriwa wana take advantage na dada zetu tu na kuwachezea sababu ya njaa kali mkuu ofisi zao ziko masaki mwisho haileselasie road
Mi nna maswali haya....
1. Hayo makato huwa yanafanywa siri au yanawekwa wazi kabla mtu hajaanza kazi..???
2. Kama yanawekwa wazi, kwa nini mtu akubali halafu baadaye aanze kulalama wakati analalamikia kitu alichokikubali mwanzo..??
3. We unayelalamika, hicho unachikilalamikia kilifanywa siri mwanzo..??
Mkuu ulichosema ni kweli tupu! Hiyo laki mbili wanayopewa ni utan, yan wanafanya hao majamaa ya voda wawagegede madada zetu kiulain sana yan, nahic wao wanashukuru ujio wa erolink, na sasa hv nasikia mishahara yao imepunguzwa tena, hvyo wengi walio chin ya hiyo kampun wanatafuta kaz sehemu nyingine
Duh wameshishiwa tena janga hilo na jamaa wanapiga mzigo kisawasawa yaani pale voda unaongea toka saa mmoja hadi saa tisa wimbo huo huo nyota reli na wengi wanakufa maskio bila msaada baada ya kuumwa zaidi ya kutaftiwa sababu ufukuzwe zambi iyo itawatafuna sana
hawa baada ya kuona ajira za shida hpa mjini wakaanzisha kampun ya kuwatafutia watu kaz kwa makubaliano ya kinyonyaj ya kuchukua asilimia arobain na nane hyo iliyobak bdo makato mwisho wa cku unajikuta una laki mbil huku hawa jamaaa bila hta kutoa jasho wanapiga hela ndefu huk we ukibak umefulia
wanachukua kabla ya kodi khs makubaliano wana mikataba na haya makampun ambayo yanasifiwa kwamba ni walipaj kod wazur km vodacom ....ki ukwel hili ni janga kwa vijana wanaotoka familia maskin ambao walijua shule ingewasaidia kuleta ahuen kwny familia zao
naomba mnijuze hawa matapel wa mjini wanaoitwa erolink ni kampun ya nan?? serikal inatambua uwepo wake?? na hii dhulma wanaoifanya kwa vijana wa kitanzania serikal wanaijua???
Topic zenye akili kama hizi huwezi ona watu wengi wanachangia zaidi watu wanaangalia mambo ya CCM na CHADEMA tu. Na mashirika, kampuni, mabenki nyonyaji (VODACOM, CITI BANK, TIGO, CRDB) yanatumia vizuri fursa za namna hii. Vijana siasa tumeweka mbele kuliko kusaidiana kupinga unyonyaji kama huu. Kwa nini turuhusu mambo kama haya kutokea Tanzania? Haya makampuni mwanzo yalikuwa yanafanya kazi vizuri tu katika kutafutia vijana ajira lakini HRM kwa uroho uliopindukia ndio wakaanzisha upuuzi huu wa ku "autsource". Wizara ya kazi imelala, serikali imelala, usalama wa taifa umelala na vijana hasa wanaofanya kazi katika taasisi hizi nao wamelala hawana umoja. Tukatae unyonyaji kama huu katika nchi yetu.
Na nliwah kuskia km
huko mbele ndo kutakua na system hii ya kuwepo kwa kampuni za kutafutia
watu ajira. Km ilivo kwa kampuni za cleaning, guarding, housekeepers
etc. Sasa Leo mtu unatoka chuo na degree yako uingie kwenye kampuni km
hii ukitegemea mshahara wa laki 4 tena bila security ya kutosha.
Si mdau wala nini... ila nasema tu ukweli...Yawezekana ukawa mdau wa erolink si bure
mi najiuliza hiv m2 ukiamua kupiga mishe zako huwez kuingiza hyo 280 tatizo vijana wenzangu wanapenda sna security na ujiko kujulikana unafanya kaz voda kumbe upuuz m2pu