Hawa Erolink ni akina nan?

Hawa Erolink ni akina nan?

NBC nao wamo. Wameandikiana mkataba na hii kampuni. NBC inalipa erolink then erolink inawalipa mshahara vijana wao (waliowaajiri). So km bank inalipa 700,000. per head erolink inamlipa kijana wake 400,000. 300,000 ya kwake anakula. Na hii ni kwa kila mwezi. Kampuni haiko safe, ajira zenyewe ni tempo si permanent. Ukijikwaa kdg tuu mara out.
 
NBC nao wamo. Wameandikiana mkataba na hii kampuni. NBC inalipa erolink then erolink inawalipa mshahara vijana wao (waliowaajiri). So km bank inalipa 700,000. per head erolink inamlipa kijana wake 400,000. 300,000 ya kwake anakula. Na hii ni kwa kila mwezi. Kampuni haiko safe, ajira zenyewe ni tempo si permanent. Ukijikwaa kdg tuu mara out.
Vipi kama NBC ndo ingewaajiri kwa hiyo 400k, ingekuwa sawa..???
 
NBC nao wamo. Wameandikiana mkataba na hii kampuni. NBC inalipa erolink then erolink inawalipa mshahara vijana wao (waliowaajiri). So km bank inalipa 700,000. per head erolink inamlipa kijana wake 400,000. 300,000 ya kwake anakula. Na hii ni kwa kila mwezi. Kampuni haiko safe, ajira zenyewe ni tempo si permanent. Ukijikwaa kdg tuu mara out.
mshahara wenyewe laki saba...kisha unamkata lol....
 
Km kuna makubaliano jibu ni yes. Coz NBC ingemuajiri permanent. Kuna usalama zaidi kwenye ilo. Security, health insurance, na other benefits. Hio wanofanya erolink ni dhulma. Kujipatia hela pasi na kuitolea jasho
 
Kama unasaign nao mkataba kabla ya kuajiliwa unaweza kuukiuka na usifanywe kitu. Kisheria muwajiri hana mamlaka kulazimisha makato usiyo ridhia. Hata michango kwenda kwenye vyama vya wafanyakazi iliyokuwa inakatwa kwa baadhi ya waajiliwa mfano walimu imesitishwa rasimi kuanzia july mkwaka huu mpaka mfanyakazi ajaze fomu kukubali makato hayo.

Hao jamaa wanauwezo wa kukata hela hiyo tu ikiwa wao ndio waajiri yaani kampuni kama vodacom ime-contract out kazi husika kwao nao wamekuajiri wewe ukifanya kazi kwa niaba yao vodacom
 
Wao wana mkataba na vodacom, wanakuajiri wao kwa pesa kdg then kwa mwenye kampuni wanachukua parefu, mi sawa na kampuni za ulinzi wanachukua hela ndefu mlinzi analipwa hela mbuzi
 
kazi ya mshahara laki 3 watakuambia lete wadhamini wenye a/c zenye co chini ta 10 m kwa kila mdhamini. hii ndio bongo
 
wanachukua kabla ya kodi khs makubaliano wana mikataba na haya makampun ambayo yanasifiwa kwamba ni walipaj kod wazur km vodacom ....ki ukwel hili ni janga kwa vijana wanaotoka familia maskin ambao walijua shule ingewasaidia kuleta ahuen kwny familia zao

kwa hiyo mkataba wa kazi unasema mshahara wa mwezi sh. xxx, je unasema kuna makato ya agent? mbona mimi naona kama umekaa vibaya, je hamna vyama vya wafanya kazi?
SP
 
yaani hawa jamaa sjui nani anawapa jeuri aise ni wanyonyaji hasa skuizi voda wana walipa kwenye laki mbili na themanini nafkiri no medical wala nini mtu unaishi vipi kwa mshahara huo matokeo yake jamaa wa voda walioajiriwa wana take advantage na dada zetu tu na kuwachezea sababu ya njaa kali mkuu ofisi zao ziko masaki mwisho haileselasie road
 
wanachukua kabla ya kodi khs makubaliano wana mikataba na haya makampun ambayo yanasifiwa kwamba ni walipaj kod wazur km vodacom ....ki ukwel hili ni janga kwa vijana wanaotoka familia maskin ambao walijua shule ingewasaidia kuleta ahuen kwny familia zao

sasa HRM tufe njaa!
 
kwa hiyo mkataba wa kazi
unasema mshahara wa mwezi sh. xxx, je unasema kuna makato ya agent?
mbona mimi naona kama umekaa vibaya, je hamna vyama vya wafanya kazi?
SP

yaan mkuu inashangaza sna wizara husika cjui wanafanya nn c ajabu mwenye hii kampuni ana billions of shillings lkn bdo anataman vi laki saba vya mtoto wa maskin yaan chuki yangu dhid ya ccm inazid cku had cku kwa hya madudu wanayoyalea
 
naomba mnijuze hawa matapel wa mjini wanaoitwa erolink ni kampun ya nan?? serikal inatambua uwepo wake?? na hii dhulma wanaoifanya kwa vijana wa kitanzania serikal wanaijua???

Head Office & Training Centre
1720 Haile Selassie Road,
Masaki, Dar-es-Salaam, Tanzania


Branch Office

Plot 55 Uporoto Street, Ursino Estate,
Morocco, Dar-es-Salaam, Tanzania
 
kwa mishahara yote, ingekuwa ni mshahara mmoja watu wasingelalamika, sbabu weng huwa wanatoa ili wapate kazi.
Lakin inapokuwa miezi yote wao wanapata tu, ni kumnyonya anayefanya kazi mkuu

Hapo wanakosea vp hawa Vipaji link?
 
Ni useng...... Nchi ipo tu kama imelala huyo waziri wa Kazi kilaza tu. Sio Erolink tu makampuni mengi ya recruits ni matapeli sana, ni mechezo inayochezwa na HRM na hao watu wa Ero au RADAR na upuuuzi mwingne
 
erolink hutoa mwanga kwa mtu anaetaka kazi je ukipata unatafuta nyingine fasta ili kuwa kwepa bana simple tu..
 
Back
Top Bottom