Hawa Erolink ni akina nan?

Hawa Erolink ni akina nan?

komeka

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2013
Posts
1,072
Reaction score
404
naomba mnijuze hawa matapel wa mjini wanaoitwa erolink ni kampun ya nan?? serikal inatambua uwepo wake?? na hii dhulma wanaoifanya kwa vijana wa kitanzania serikal wanaijua???
 
naomba mnijuze hawa matapel wa mjini wanaoitwa erolink ni kampun ya nan?? serikal inatambua uwepo wake?? na hii dhulma wanaoifanya kwa vijana wa kitanzania serikal wanaijua???

Tupe mwanga zaidi, wanashughulika na nini tuwajue zaidi kwa tusiowajua tupate faida.
 
Wamefanyaje?

hawa baada ya kuona ajira za shida hpa mjini wakaanzisha kampun ya kuwatafutia watu kaz kwa makubaliano ya kinyonyaj ya kuchukua asilimia arobain na nane hyo iliyobak bdo makato mwisho wa cku unajikuta una laki mbil huku hawa jamaaa bila hta kutoa jasho wanapiga hela ndefu huk we ukibak umefulia
 
Hiyo kampun ni hatari, nina ndgu yngu alipata kazi vodacom kwa kupitia wao, ila hayo makato wanayochukua hiyo kampun, sasa hv anafnya mchakato wa kutafuta kazi sehemu nyingine
 
hawa baada ya kuona ajira za shida hpa mjini wakaanzisha kampun ya kuwatafutia watu kaz kwa makubaliano ya kinyonyaj ya kuchukua asilimia arobain na nane hyo iliyobak bdo makato mwisho wa cku unajikuta una laki mbil huku hawa jamaaa bila hta kutoa jasho wanapiga hela ndefu huk we ukibak umefulia

Kwa mshahara wa mwezi wa Kwanza au mishahara yote utakayokuwa kazini?
 
Kwa mshahara wa mwezi wa Kwanza au mishahara yote utakayokuwa kazini?

kwa mishahara yote, ingekuwa ni mshahara mmoja watu wasingelalamika, sbabu weng huwa wanatoa ili wapate kazi.
Lakin inapokuwa miezi yote wao wanapata tu, ni kumnyonya anayefanya kazi mkuu
 
hawa baada ya kuona ajira za shida hpa mjini wakaanzisha kampun ya kuwatafutia watu kaz kwa makubaliano ya kinyonyaj ya kuchukua asilimia arobain na nane hyo iliyobak bdo makato mwisho wa cku unajikuta una laki mbil huku hawa jamaaa bila hta kutoa jasho wanapiga hela ndefu huk we ukibak umefulia
Mi nna maswali haya....
1. Hayo makato huwa yanafanywa siri au yanawekwa wazi kabla mtu hajaanza kazi..???
2. Kama yanawekwa wazi, kwa nini mtu akubali halafu baadaye aanze kulalama wakati analalamikia kitu alichokikubali mwanzo..??
3. We unayelalamika, hicho unachikilalamikia kilifanywa siri mwanzo..??
 
kwa mishahara yote, ingekuwa ni mshahara mmoja watu wasingelalamika, sbabu weng huwa wanatoa ili wapate kazi.
Lakin inapokuwa miezi yote wao wanapata tu, ni kumnyonya anayefanya kazi mkuu
Kama huwa anakubali kufanyiwa hivi kabla hajaanza kazi, hatakiwi kulalamika. Nijuwa kuna mkataba mtu anaweka sahihi yake, sasa kama hayo yanayofuata hayapo kwenye mkataba, basi inabidi hatua za kisheria zifuate....
 
'wezi wa kalam hao ni afadhali mtu akuibie kwa kujua kuwa amekuibia na hujamuona ametokomea kuliko hao wa kufanya wanakusaidia kumbe mapaka shwain wakubwa wanaiba huku unaona na kujua kuwa unaibiwa aisee,pole sana'
 
Kwa mshahara wa mwezi wa Kwanza au mishahara yote utakayokuwa kazini?
Na mm nauliza wanakata 48% kwa mshahara mmoja au kila mwezi kwa mwaka? km ni kwa mwezi wa kwanza si neno shukuru kwani hata kwenye nyumba kumpata mpangaji ni kazi lazima ulipe 50% ya kodi ya kwanza baada ya kupewa kodi tangulizi ya miezi 6 au 3
Na je hiyo Kampuni ni vp wanakutana na huyo Dalali kuwa ndiye aliyetafuta kazi? FUNGUKA
 
serikali imepandisha kima cha chini kwa wafanyakazi wa sekta za mawasiliano mpaka kilo nne kazi kwenu wana erolink kumbana huyo mnyonyaji.
 
Na mm nauliza wanakata 48%
kwa mshahara mmoja au kila mwezi kwa mwaka? km ni kwa mwezi wa kwanza si
neno shukuru kwani hata kwenye nyumba kumpata mpangaji ni kazi lazima
ulipe 50% ya kodi ya kwanza baada ya kupewa kodi tangulizi ya miezi 6 au
3
Na je hiyo Kampuni ni vp wanakutana na huyo Dalali kuwa ndiye
aliyetafuta kazi? FUNGUKA

mkuu kwa miaka yote utayokuwa kazin wanachukua chao yaan kila mwez wanachukua hta ukifanya kaz kwa miaka kumi
 
Mi nna maswali haya....
1. Hayo makato huwa yanafanywa siri au yanawekwa wazi kabla mtu hajaanza kazi..???
2. Kama yanawekwa wazi, kwa nini mtu akubali halafu baadaye aanze kulalama wakati analalamikia kitu alichokikubali mwanzo..??
3. We unayelalamika, hicho unachikilalamikia kilifanywa siri mwanzo..??

mkuu hpo point ni kuchukua advantage ya matatizo ya mtu kujinufaisha yaan kwa kuona m2 ana shida na kaz bac ndyo wameweka hicho kipengele cha kumnyonya kjana wa kitanzania
 
naomba mnijuze hawa matapel wa mjini wanaoitwa erolink ni kampun ya nan?? serikal inatambua uwepo wake?? na hii dhulma wanaoifanya kwa vijana wa kitanzania serikal wanaijua???

Ya jamaa mmoja mjanja wa mjini ivi anaitwa elvis nenda voda call center kamuulizie watakwambia
 
Ya jamaa mmoja mjanja wa mjini ivi anaitwa elvis nenda voda call center kamuulizie watakwambia

elvis nan??? nipe data mkuu za huyu mwizi wa mchana
 
mkuu hpo point ni kuchukua advantage ya matatizo ya mtu kujinufaisha yaan kwa kuona m2 ana shida na kaz bac ndyo wameweka hicho kipengele cha kumnyonya kjana wa kitanzania
Kumbuka, siku zote mamatizo yako ndo mtaji kwa wengine.... mtu akifa leo, watu kibao watapata pesa, haya wenye magari ya kubebea marehemu, wauza sanda, suti tai, wenye mabasi ya kusafirisha wafiwa....
Kwa hiyo the same goes to ajira, unashida ya ajira watu wanakula kichwa...

Kwa hiyo, wa kulaumiwa ni wale wanaosajiri madudu haya... Kuja kumlaumu Erolink sioni kama ni sahihi.... Ukizingati Erolink anakueleza in advance nini kitatokea.
 
mkuu hpo point ni kuchukua advantage ya matatizo ya mtu kujinufaisha yaan kwa kuona m2 ana shida na kaz bac ndyo wameweka hicho kipengele cha kumnyonya kjana wa kitanzania

Mshahara unalipwa kwa nani?, na je wanachukua baada/kabla ya makato ya kodi? Je mwajiri anamakubaliano gani na hiyo kampuni?
Hebu tuwekee hapa baadhi ya terms tuone zimekaa aje!!
 
Mshahara unalipwa kwa nani?,
na je wanachukua baada/kabla ya makato ya kodi? Je mwajiri
anamakubaliano gani na hiyo kampuni?
Hebu tuwekee hapa baadhi ya terms tuone zimekaa aje!!

wanachukua kabla ya kodi khs makubaliano wana mikataba na haya makampun ambayo yanasifiwa kwamba ni walipaj kod wazur km vodacom ....ki ukwel hili ni janga kwa vijana wanaotoka familia maskin ambao walijua shule ingewasaidia kuleta ahuen kwny familia zao
 
Back
Top Bottom