Ni utapeli tu. Sasa wenye experience watapatikanaje kama hakuna anatoa ajira bila expetience. Training na qualification kama hazina maana ni experience tu inatakiwa itafika mahali hawapati mtu maana wenye experience watazeeka na kufa.Hata mm nilifanya nao interview mpaka hatua ya usaili.
Mwisho huyo mdada akaniambia kuwa wanaangalia experience zaidi.
Kwahiyo wenye experience ya miaka 3 waende