Hello wana,
Jamvi niliomba nafasi kwa hawa jamaa wa Car Tracking since last week na nimefanya interview nao kadhaa ikiwemo ya Oral through WhatsApp calls ila leo wamenitumia email kwamba wamenimwaga may be sababu sina experience ya sales mtu yyte ajaribu inaonekana wako serious.
Jamvi niliomba nafasi kwa hawa jamaa wa Car Tracking since last week na nimefanya interview nao kadhaa ikiwemo ya Oral through WhatsApp calls ila leo wamenitumia email kwamba wamenimwaga may be sababu sina experience ya sales mtu yyte ajaribu inaonekana wako serious.